Ha ha ha haaaaa!!! Huyu jamaa noma, mi pia nilichat naye whatsap namba +256755522898 nilichati naye pm yule Katelelo baadae akaniomba namba ya whatsap akanitext eti yupo Uganda Kampala akasema yeye anakampun makao makuu yake Dubai kuna kazi nimtumie tu pesa kwa ajili ya kuniunganisha huko...
Thanx, nitafuata hatua zote ulizoniambia , japo kwa wazaz wangu nilishalifikisha, na kwa ndugu zake pia, bahat mbaya yeye hana wazaz washatangulia mbele ya haki tayar
Habari zenu wana jf naombeni ushauri kwenu. Nifanyeje? Maana nimejikuta simpendi tena mume wangu kwani amezid wivu .
Nimekuwa ni mtu wa kushinda nyumbani tu hataki nijishughulishe wala kutoka kwenda kwenye sherehe na misiba hataki, pia hataki hata niongee na mtu yeyote yule hata jirani. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.