Hawawezi kuelewa kwa kuwa wengi hawajasoma pale.
Ila asilimia 96 ni one za 3 mpaka 6 kwa kozi za DDS ,BPHARM ,MD na BIOMEDICAL cream of the nation ila sasa malecturer wa kibongo aah shitt,
Ila kwa sasa watu wanapata GPA 4 za kumwaga,maana kwa sasa hayo mambo ya kukaziana na figisu yamepungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.