Recent content by Lamine yamal UDOM

  1. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Taja thread zako 3 zinazokuvutia zaidi JF

    1.Chelsea special thread 2.Barcelona special thread 3.Na huu wa juzijuzi hapa saa 3 asubuhi wa lamomy kuhusu misumari kilo kadhaa.
  2. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Tuambie hali ya mahusiano yako kwa kutumia kipande cha wimbo

    Me nishamove on,ananigandaganda
  3. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Kukutetea wewe ndo kazi sasa.
  4. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mapenzi ya kwanza hayasahauliki kirahisi?

    😂😂😂,wametuweza washenzi sana konami,Umeingia laki 4 bora kwanza
  5. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mapenzi ya kwanza hayasahauliki kirahisi?

    [/USER] Pack ya wajapan,humo ni violence tu,me sichezi kabisa huku.
  6. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Katika harakati za kutafuta likes
  7. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanaume wa kuwa naye kwa mahusiano

    Mipira iliyokufa
  8. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Atatamani awe wako

    Hauzeeki tu
  9. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Wadada tupewe maua yetu!!

    We na nani?
  10. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu ananipenda akiwa na shida, akipata pesa anabadilika

    Hawa senior members huwa hawaletagi chai. Lakini expert members😂😂,unajua kabisa hii ni chai
  11. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Je, kusoma chuo kama MUHAS kuna advantage kwenye career nzima ya medicine?

    Hawawezi kuelewa kwa kuwa wengi hawajasoma pale. Ila asilimia 96 ni one za 3 mpaka 6 kwa kozi za DDS ,BPHARM ,MD na BIOMEDICAL cream of the nation ila sasa malecturer wa kibongo aah shitt, Ila kwa sasa watu wanapata GPA 4 za kumwaga,maana kwa sasa hayo mambo ya kukaziana na figisu yamepungua...
  12. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania HOJA Naomba ufafanuzi kuhusu vigezo vya udahili wa kozi ya Doctor of Medicine (MD)

    UDOM huwa wanazingua wanaosoma engineering science,ila MUHAS hawana hiyo cha msingi ufaulu wa advance among 200 bora. .
  13. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi la vijana waliosoma vyuo vya nje ya nchi kupata changamoto ya usajili kwenye mabaraza ya kitaaluma kipindi wanaporudi Tanzania.

    Kwani nimekataa kuwa hawaendi nje,nimeuliza how ?Yaani wameendaje nje.Jibu la hapo litasolve tatizo hilo kwa kiasi fulani.
Back
Top Bottom