Recent content by Lamine yamal UDOM

  1. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Je, kusoma chuo kama MUHAS kuna advantage kwenye career nzima ya medicine?

    Hawawezi kuelewa kwa kuwa wengi hawajasoma pale. Ila asilimia 96 ni one za 3 mpaka 6 kwa kozi za DDS ,BPHARM ,MD na BIOMEDICAL cream of the nation ila sasa malecturer wa kibongo aah shitt, Ila kwa sasa watu wanapata GPA 4 za kumwaga,maana kwa sasa hayo mambo ya kukaziana na figisu yamepungua...
  2. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania HOJA Naomba ufafanuzi kuhusu vigezo vya udahili wa kozi ya Doctor of Medicine (MD)

    UDOM huwa wanazingua wanaosoma engineering science,ila MUHAS hawana hiyo cha msingi ufaulu wa advance among 200 bora. .
  3. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi la vijana waliosoma vyuo vya nje ya nchi kupata changamoto ya usajili kwenye mabaraza ya kitaaluma kipindi wanaporudi Tanzania.

    Kwani nimekataa kuwa hawaendi nje,nimeuliza how ?Yaani wameendaje nje.Jibu la hapo litasolve tatizo hilo kwa kiasi fulani.
  4. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kwa comb ya PCP SIX ufaulu wa CDC naweza kupata kozi ya MD Kwa vyuo kama KCMC, Bugando na Kairuki?

    Kairuki bna st joseph walichukua mpaka one ya 9 ila sasa ada zao ziko juu,ndo maana hakuna competition. Kuhusu BUGANDO(CUHAS) wao walichukua mpaka point 8 ila sasa ilikuwa second round.
  5. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kwa comb ya PCP SIX ufaulu wa CDC naweza kupata kozi ya MD Kwa vyuo kama KCMC, Bugando na Kairuki?

    Last year One ya 6 BBB walikosa UDOM,KCMC course ya Doctor of Medicine.Na one ya 5 walikosa MD pale MUHAS Kumbuka ukikosa first round hivyo vyuo kwa kozi hizo ujue kwisha habari.
  6. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Miguno, vilio, sauti za mahaba vinapotea taratibu

    Sawa millionaire
  7. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Biblia haikatazi mtu kuoa wake wengi, wanaokataza sijui wanatumia andiko lipi

    Mambo ya KE nyingi mwisho wa mwaka sio.
  8. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    kila damu iliyomwagika october 29,imepanda mbegu ya chuki dhidi ya utawala wa kishetani,na siku moja, utaangushwa mazima.
  9. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Tanzania kuna utulivu hakuna amani.Ova
  10. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Ni mwendo wa ambush tu,*****.
  11. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Mwenye taarifa za Makazi, Mali na Familia za Jaji Mwambegele na Ramadhani Kailima wa Tume ya Uchaguzi atusaidie

    Mwijaku hama nchi,leo wajuba watachoma majengo ya WASAFI media.
  12. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je, Maandamano yamefeli mpaka sasa? Barabara nyeupe, mikwara yote kwisha

    Lipueni eneo la tume ya uchaguzi leo,kazi itakuwa imeisha.Wanatangaza upumbavu tu.
  13. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Kuna watu walitakiwa watolewe kafara ili nchi iwe salama lakini wakapuuza

    Mpaka useme bado hujasema.
  14. Lamine yamal UDOM

    JamiiForums Tanzania Naweza kuhamia chuo cha Serikali maana chuo ninachosoma sasa kina ada kubwa sana!

    Dogo ili uende shule za vipaji unatakiwa uwe na AAA, Au uwe na one ya saba na BAA kwa PCB na PCM,kwa mwaka 2021 na 2022. Ila kwa nini hukuomba UDOM na UDSM(MUCHAS)?
Back
Top Bottom