Hawawezi kuelewa kwa kuwa wengi hawajasoma pale.
Ila asilimia 96 ni one za 3 mpaka 6 kwa kozi za DDS ,BPHARM ,MD na BIOMEDICAL cream of the nation ila sasa malecturer wa kibongo aah shitt,
Ila kwa sasa watu wanapata GPA 4 za kumwaga,maana kwa sasa hayo mambo ya kukaziana na figisu yamepungua...
Kairuki bna st joseph walichukua mpaka one ya 9 ila sasa ada zao ziko juu,ndo maana hakuna competition.
Kuhusu BUGANDO(CUHAS) wao walichukua mpaka point 8 ila sasa ilikuwa second round.
Last year One ya 6 BBB walikosa UDOM,KCMC course ya Doctor of Medicine.Na one ya 5 walikosa MD pale MUHAS
Kumbuka ukikosa first round hivyo vyuo kwa kozi hizo ujue kwisha habari.
Dogo ili uende shule za vipaji unatakiwa uwe na AAA,
Au uwe na one ya saba na BAA kwa PCB na PCM,kwa mwaka 2021 na 2022.
Ila kwa nini hukuomba UDOM na UDSM(MUCHAS)?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.