Recent content by Lamchina

  1. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Hi guys, Engine ipi ni imara zaidi kwa magari madogo kati ya 3S na VVTi za Toyota?
  2. Lamchina

    Maandamano tarehe 7 Sept, 2015 kuelekea ofisi kuu za CHADEMA

    Wewe jaribu bahati yako kuleta zako za ccm utaisoma namba tushajiweka vizuri kupawa kisago cha mwaka, kile cha juzi na agent wa Masaburi ilikuwa introduction. Njooni UKAWA tumejiweka vizuri kuwapa zawadi yenu ambacho hamtasahau.
  3. Lamchina

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Akazungumze na mke wake wa zamani kwanza na yule aliyemwibia mke wake, akimaliza aende kanisani akatubu
  4. Lamchina

    Vichwa vya habari Magazetini kesho

    Magufuli. Ni kazi tu, ushindi daima. Mzalendo
  5. Lamchina

    Picha ya overview Ukawa Mwanza na CCM Jangwani Dar

    Haiwezekani magazeti na media zingine zitengeneze picha feki ya ukawa, muzeee umedanganywa
  6. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Jamani ukiagiza gari Japan na ikafika ni service gani lazima ufanye kabla hujaendesha ijapokuwa ilishafanyiwa pre-inspection Japan? Natanguliza shukrani kwa mchango wa mawazo
  7. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Congratulations to guys for nice and wonderful contribution in this forum!
  8. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Hi wapendwa Naomba kujuzwa uzuri na ubaya wa Subaru forester. Millions thanks!
  9. Lamchina

    Kahawa: Tanzania maarufu tena Duniani

    Mmmmmhhh...... mimi bado sijaona kwenye maduka ya Wal-Mart ila ntacheki wakati mwingine
  10. Lamchina

    Vitendo vya wizi Dar na Kilimanjaro Airport vinatia hofu

    Nataka kurudi kutoka mashariki ya mbali, lakini nasikia tetesi kuwa viwanja vyetu Bongo sio salama kabisa. Mabegi yanayokuwa checked nasikia masela wanakagua na kuchukua vitu vya thamani kama Laptop, Tablet, Saa, Mikufu, any kind gold and all valuable materials. Kuna ukweli katika hili? Pia...
  11. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Msaada Kwa wenye uzoefu makadirio ya kodi ya magari kwa TRA ukiingiza specification zote ndo gharama halisi ukipeleka documentation ukiagiza gari Japan? Kati ya autorect na Befoward ni company gani wana quality cars? Mwisho ukiagiza gari una save kiasi kizuri cha fedha ikilinganisha na kuchukua...
  12. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=12802591
  13. Lamchina

    Tofauti ya engine D4 na VVTi

    Heshima kwenu wadau! Jamani kuna tofauti gani kwenye engine za Toyota hapo juu. Ni ipi yenye kuvumilia tabu na shida ktk rough and tuff road. Ni ipi economical kwenye fuel consumption? Ni ipi spea zake za bei nafuu? Ni ipi durable tena haitaji frequency service and maintenance? Thanks for your...
  14. Lamchina

    Msaada: Tatizo kwenye programu ya Stata 11

    Hapo kaka unatakiwa kucorrect heteroskedasticy, unaweza kutumia weighted least square au VIF, then baada ya hapo run the data utapata unbiased estimates. Ningekusaidia physically lakini nipo mashariki ya mbali
  15. Lamchina

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wadau heshima kwenu, jamani kuna tofauti gani kati ya RAV 4 hizo hapo juu? Kwenye swala la quality, efficiency, economical in fuel consumption, durability etc ipi nzuri zaidi? He hizi ndo zinaitwa Rav 4 Kill time mtaani? Asanteni kwa ufafanuzi
Back
Top Bottom