Recent content by Lambo Ugweno

  1. L

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Magamba wanaweza wakawa wanatumia nguvu za ziada kufanikisha haya.
  2. L

    Sasa ni Dhahiri: CHADEMA Walikosea Kumfukuza Zitto!

    Hii inaniumiza zaidi. So ACT imekuja kupunguza kura za Upinzani ili CCM ishinde zaidi. Kweli Magamba ni wajanja. Wapinzani kazeni buti hii vita ya wapinzani kuwapiga wapinzani inatoka kwa yule adui yetu mkuu ambaye ni CCM tu. ACT is backed with CCM to destroy Upinzani (UKAWA) Sentensi ya Mwisho...
  3. L

    ACT Tanzania Yazidi kuuungwa Mkono huku Tanga

    Kinachonisikitisha ni huko kupinga WAPINZANI tu... Otherwise mkiwa na Mkakati wa kuwasaidia watanzania tutafurahi coz nia ya wengi ni kuwapa nafuu wa TZ. Ila mkiendelea na mikakati ya kuiangusha CHADEMA hamtafika popote.
  4. L

    CHADEMA muheza kumekucha ripoti hii hapa

    Kama anakaa Masuguru au Genge na Muheza Estate atakuepo.
  5. L

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    Kinachoniudhi ni kwamba Barua haijulikani kaandikiwa nani. Makosa ya Kisarufi na kisintaksia. Siwezi kukoment ktk mengi aliyoandika kkwani siyajui. ila Kitendo cha kusema Kamati kuu haiwezi kuondoa mpasuko kinaonesha kuwa huyu ni miongoni mwa wanamtandao. Na inaonesha Mtandao ulipangwa na...
  6. L

    Dr Kitila Mkumbo kusimamishwa chuo kikuu ni pigo lingine

    Jini likiikuona wewe ni Mbaya zaidi yake linakunyonya damu. Kumbe walikua hawajui kuwa yeye ni kiongozi wa Siasa? Bongo ni wahuni sana.:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:Kitilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
  7. L

    Uimara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo

    Ni mtazamo, na ninaamini kuwa unaamini kuwa CCM ndio Chama Makini hapa Bongo. Sikupingi. Hiyo ni Hulka ya wanaokula kwa Foleni kwa Mwigulu.
  8. L

    Uimara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo

    Maneno ya Mtu imara HUWA IMARA. Asante kwa maneno imara.:tape:
  9. L

    Sakata la Zitto na Dr. Kitila: Mjumbe wa Baraza Kuu CHADEMA ailipua Kamati Kuu

    NIKIWA KAMA MJUMBE WA HALIMASHAURI KUU YA CHADEMA (kwa utani), NIKIWAKILISHA JIMBO LA .................. NATANGAZA KUWA MJADALA UMEFUNGWA KWA MANUFAA YA UMMA NA CHAMA KWA UJUMLA. MTU AKIKURUPUKA NA KUANZA KUONGEA ALICHOOTA DAWA YAKE NI KUMFUNGIA MJADALA ILI AKALALE.\ NARUDIA KUUFUNGA MJADALA.
  10. L

    Namuonea huruma sana Mnyika kwa kuingia kwenye ngoma ya kihafidhina

    Kuanzia Mleta thread mpaka waliosapoti wote hamna point ya msingi. Mimi sio Mwana Siasa lakini sioni shida kwa Katibu mwenezi wa Chama kufanya uenezi. na ile ni collective responsibility ambapo maamuzi ya chama yanapaswa kukubalika kwa wanachama na viongozi kusimamia. Sioni kosa la Mh. Mnyika...
  11. L

    Ulevi Noma jamani

    Isije ikawa ana kifafa nyie mnadai ulevi noma. Oh msaidieni jamani.
  12. L

    My Apologies To Mh. Kapuya Na Wengine Wote We Should Follow The Apology Avenue: We Were Wrong!!

    Kama huyo dada ni Mzoefu je Nani alimwambukiza mwenzake UKIMWI? Inawezekana tunatakiwa kuomba radhi kwa Mungu kuwa Tulikosea Kumbe Kapuya MH. ameambukizwa Maradhi na Msichana huyo Changudoa......:frusty::frusty:
  13. L

    MTIZAMO: Namuona Mh. William Lukuvi akiwa Waziri Mkuu Mpya wa Tanzania 2015...

    Watu waliosomeshwa na Mbunge utawaona tu. Wanasema wasichikijua ila wanaona mafanikio ya jimbo ni kulipiwa ada. adayenyewe ktk shule ya Kata. Kajipange ndio ulete uzi wa kueleweka.
  14. L

    Polisi jamii wanalipwa na nani na pesa kutoka wapi? Nchimbi na Wema na Kova kwa Dar wana majibu?

    Erythrocyte Umenena, na Mgambo wa jiji wanatumia mwanya huo kuishi. Jamani mbona nchi imekwisha hiviii? Tuacheni siasa tuwatoe hawa CCCCCCCCCM
Back
Top Bottom