Recent content by lalie

  1. L

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Dunia ni duara ambalo kwenye ncha zake ni flat. Kipenyo kutoka ncha ya kaskazini ni kifupi kidogo kuliko kipenyo cha ikweta kwa tofauti ya km 44 hivi.Zipo sababu nyingi zinazothibitisha kuwa Dunia Ni duara. Asemaye vinginevyo huyo anachangamsha kundi Hana hoja ya kisayansi au kijiografia. Haya...
  2. L

    Uvumbuzi wa kurunzi iletayo giza

    Mbege umelewa?! Point yako ni kuwasema maboss wa TANESCO, Kila mtu anakerwa na kukatika umeme.Mimi sio mfanyakazi wa TANESCO, nafikiri katika hali tulivu.Ninavyoifahamu jiografia ya Tanzania kusema ukweli tunawalaumu bure watu hawa! HEPs zetu ni ndogo, miundo mbinu ni chakavu, usambazaji wa Kila...
  3. L

    Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

    Hivi vinavyouitwa vitabu vitakatifu ni purely imagination, mapokeo, tamaduni, siasa, mbinu za kuimarisha utawala na kutuliza upinzani, mind corruption na mengine mengi. Upande mmoja unaambiwa yaheshimu mamlaka kwa sababu yametoka kwa mungu, heri mwanakondoo......, heri mtumishi mwaminifu...
  4. L

    Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

    Mayu, Mimi mtani wako kwa mara ya kwanza nitakusifu.Kwa hoja hii Niko pamoja na wewe kwa asilimia zaidi ya mia kama inaruhusiwa!. Dini zote ni ulaghai usio na mantiki hata kidogo! Only simple minded and those who benefit from the scam as you called it work on that! Hakuna shaka yoyote kuwa...
  5. L

    Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

    Waungwana nisikilizeni kwa makini.Mzunguko wa magharibi kwenda mashariki ni mwepesi.Mtu angeweza kuzunguka kutoka kaskazini kwenda kusaini na akarudi palepale alikoanzia kwa sababu dunia ni duara.Vikwazo: Ncha ya kaskazini barafu muda wote.Ncha ya kusini ni barafu muda wote. Watu huko hawaishi...
  6. L

    Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

    Mheshimiwa Vitabu vya Mungu ni kila unachokiona katika mazingira, vile vitu ambavyo mwanadamu hakutia mkono wake. Vitabu vile ni vigumu sana kusoma. Ukitaka kujua ugumu wa kusoma vitabu vya Mungu tafuta katika majirani zako watu waungaji katika nyumba mia moja wana degree zozote za vitabu vya...
  7. L

    Muda ni kitu gani?

    Waungwana naomba msaada wenu ili mniongezee ujuzi maana ninao haba. Naomba mniambie: Muda ni kitu gani?
  8. L

    Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

    Tukienda kwenye biology mwili ni physical/tangible yaani unaonekana na unagusika. Roho ni kisaikolojia zaidi kuliko kibiolojia. Roho haigusiki, haionekani. Ni mental picture.Nafsi haionekani na haigusiki vilevile. Nafsi inajitokeza kwenye matendo ya mtu.Hapo tunajua tabia yake...
  9. L

    Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

    Hapa naona kuna mitazamo miwili; mtazamo wa kiimani na ule wa kisaikologia/ kibiolojia.Kiimani bado inabakia kuwa mwili ni chombo/ container ambamo ndani yake kuna roho na nafsi.Roho ni universal maana yake ni kuwa inamuunganisha mtu(mwili) na muumba wake kwa miili yote. Nafsi ni...
  10. L

    Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

    Nilimaanisha sayari sio daktari,samahani waungwana.
  11. L

    Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

    Mheshimiwa mwezi ni daktari kama dunia hii inayoishi juu yake. Ni daktari ndogo inayozunguka daktari kubwa. Ni mtoto wa dunia yaani anaifuta dunia. Ni 'jiwe' kama mawe mengine. Hivi tunavyoongea kuna sample kutoka mwezini ziko dunia ambazo zimechukuliwa kutoka mwezini. Siku zote ukipewa taarifa...
  12. L

    Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

    Mwili container/ kibebeo cha roho na nafsi. Roho ni uhai, ni kile kinachofanya mwili uwe hai kwa kusukuma damu ambayo ndiyo inapeleka chakula,maji na hewa sehemu zote za mwili. Nafsi inahusika zaidi na cognitive domain yaani mambo ya fahamu na maamuzi ambayo mtu anafikiria na kutenda, yaani...
  13. L

    Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

    Wewe habari hizo umezijuaje? Wakati wa uumbaji wanadamu hawakuwepo kushuhudia lolote. Nani ajuaye kwa uhakika mambo ya uumbaji?! Fikra zetu zisitufanye kudhani tunajua mambo ambayo hayawezekani kujulikana. Tusitumie fikra za watu ambao hawakujua kuwa hawajui wakadhani wanajua ambayo hawawezi...
  14. L

    Njooni tuelimishane

    Narudia kueleza waheshimiwa mnielewe: mwezi unaozunguka dunia siku 27.5 kulizungusha kwenye mhimili wake kwa siku 14.Angalia kuanzia siku ya 13 -17 tangu mwezi uandame utaona kuwa sura ya mwezi inavyobadilika. Siku hizo ni wakati tunaita full moon yaani tunaona nusu kamili ya uso wa mwezi.Wale...
  15. L

    Kama maeneo yana ramani kwanini serikali inaruhusu ujenzi holela?

    Ndugu zangu wanajamii forums nielimisheni: Hapo kwetu Bagamoyo kuna ramani mbili; moja ni mpango mjini yaani kwa Chingereza wameniambia wanaita TP. Nyingine wanaita kitu kama saveyi. Vyote hivi vipo katika ofisi ya mkurugenzi idara ya ardhi kwenye makabati. Kwenye eneo husika wameweka vinguzo...
Back
Top Bottom