Hiz wizara 2 znafanya kaz kwa muingiliano mkubwa, kuingiliana kwa majukumu huku ndiko watu kunatuchanganya kimsingi Kitila yuko sahihi ila hawez kutimiza hicho kipaumbele chake bila ku consult wizara nyingne.
Hii vita si ndogo kama anavyodhan, anapodili na akina Ray C na wakati kuna manguli wa kuuza powder wengi tu na wanafahamika yeye ana deal na "vitoto". Hii ni sawa na nyumba ina short-circuit lkn hauzm kweny MAIN SWITCH
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.