Recent content by Laki Si Pesa

  1. L

    Gramu 326.46 za Cocaine zampeleka Horohoro jela maisha

    NAni alichukua mali binafsi za mshtakiwa?
  2. L

    Kosa la binti huyu mwanachuo lilikuwa nini mpaka atekwe na kuuawa mkoani Mbeya?

    Chadema wana kikosi chao cha ulinzi red brigade,wameshindwa kufuatilia hili?
  3. L

    Kosa la binti huyu mwanachuo lilikuwa nini mpaka atekwe na kuuawa mkoani Mbeya?

    Hivi kwa mfano iyo kesi ya mdude, mmeshindwa kufuatilia mpaka mlitegemee jeshi?
  4. L

    GE2025 Rose Mayemba:"Kuna watu wamemfata baba yangu mzazi kumwambia, mtoto wako asipoacha mambo ya mtandao tutampoteza"

    Sema rose nae amezidi kiherehere, anamdhalilisha sana rais Samia, ajirekebishe
  5. L

    Vale Nafaka binti mrembo anayeuza Nafaka

    Hakuna muuza nafaka hapo, usanii mtupu
  6. L

    Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    Kwa iyo injili ndio ilipanga waafrika tutawaliwe na kuchukuliwa watumwa na wazungu na waarabu? Waafrika tufanywe manamba?
  7. L

    Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    kama sio wazungu kuja afrika na dini yao, usingekuwa na dini.
  8. L

    Mali hutengeneza mali; Hakuna cha miujiza, mafuta ya upako, bahati, nyota, kibali, visomo, uganga, majini wala meditation

    Mungu wa waisrael hawa wanaoua watoto wa kipalestina ? Au unazungumzia waisraeli wapi?
Back
Top Bottom