Recent content by Laki Si Pesa

  1. L

    Hili la mikopo ya online ku-access contacts za wateja lazima lichukulie hatua

    aisee, kwa iyo mama mkwe anajua binti yake kaolewa na tapeli
  2. L

    Rwanda yaandika barua UN kupinga kupelekwa Jeshi la SADC DRC. Yasema sio jeshi la kulinda amani bali kuivamia Rwanda na kuwafuta Watutsi wa Congo

    Kuna kipindi wakati Kikwete alipokuwa rais alitoa hili wazo. Kagame alimcharukia kidogo aanzishe vita na Tanzania.
  3. L

    Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

    Mbeya hakuna kitu , unawazungumzia wapiga nondo? Nimekaa Mbeya kuko shwari sana, hapo mafiati nimekesha sana Mbeya Carnival sijawahi kuona vurugu zozote
  4. L

    Erick Shigongo: Hali ya maisha imekuwa ngumu mtaani

    Wanafanya nini huko Temeke, warudi kijijini wakalime wapate chakula wale, ardhi ya kilimo bado ni kubwa
  5. L

    Super Bowl LVIII

    By the way, mi nitaangalia show ya Usher Raymond tu, haya mamipira ya kimarekani sijajui
  6. L

    Super Bowl LVIII

    ulikuwa huna kazi ya kufanya?
  7. L

    Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

    Angalia na ukubwa wa mining wewe, Kahama kumejaa watu kwa ajili ya machimbo ya dhahabu, kuanzia wachimbaji wadogo mpaka wakubwa, huko Geita, Tarime, hakuna kiasi kikubwa kama kilichopo Kahama,
  8. L

    Mwenezi Makonda Amtimua Mkurugenzi wa Nkasi Kwenye Mkutano Baada ya Wananchi Kumlalamikia

    Kama wananchi wamemlalamikia unataka uchunguzi gani tena? alistahili kufukuzwa.
  9. L

    Andiko la Mwisho la Ole Mushi;Ukoloni unarudi Tanzania

    Alikuwa mnafiki kama kinyonga, mchumia tumbo
Back
Top Bottom