Recent content by lake Ngonsi

  1. L

    Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

    😀😄😀😀......Ile kitu tamu brother...sio uzinzi....hata Brian deacon aliyeigiza picha la Yesu aliona mke wa kwanza lkn akaja kuachana nae harafu akaona mwingine.... sababu ni utam wala hamna kingine🤗🤗
  2. L

    Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

    Mkuu siyo Mimi....labda ndio nimshauri yeye aende ..Mimi Sina harufu labda kama itaanza baadae
  3. L

    Tiba ya harufu mbaya kama samaki aliyeoza kwenye uke

    Siku hizi ni kama nina bahati mbaya yaan Kila nikiotea kibint nakuta kinanuka ukeni .....yaan vingine vidogo tu lkn balaa.... Naomba msaada wa matibabu ya hii kitu maana Kuna bint mmoja alinisumbua miaka minne ndio kanikubalia siku kuu ya juzi....sasa nikajipanga kupiga doz ya maana lkn bahati...
  4. L

    Mzee Lowasa yupo wapi?

    Nimemkumbuka sana Mzee wetu Edward Ngoyai Lowasa. Naombaeni kujuzwa Kwa anayefahamu alipo na anafanya nini Kwa sasa.....
  5. L

    5 bora ya Rasilimali zinazoongoza kwa kukusanya mapato Tanzania

    Tuna rasilimali nyingi sana Tanzania, Naomba kufahamishwa hata kama ni Kwa miaka mitano mitano top five ya sekta zilizoonogoza kwenye makusanyo mengi ya mapato (Kwa tshs), Mfano wa sekta mojawapo ni kama. 1. Mbuga za wanyama Kwa ujumla 2. Bandari Kwa ujumla 3. Mifugo Kwa ujumla 4. Madini...
  6. L

    Naomba kujuzwa asili ya neno Tanganyika

    Wanazuoni. Naomba anayefahamu asili ya Neno Tanganyika ni ipi? Ingawa nasikia hata DRC Kuna sehemu inaitwa Tanganyika. Wazee wa zaman au wasomi wa historia msaada tafadhari
  7. L

    Makadirio ya kodi

    Naombeni msaada wa kueleweshwa maana TRA hawajanielewesha Kila nilipohitaji. Juzi nilifika Ofisi za TRA kwa ajili ya kufanyiwa makadirio ya kodi. Nikakutana na ofisa pale nikazungumza nae na baada ya kujibu maswali na kukagua mashine ya EFD akanikadiria laki sita kwa mwaka kama kodi. Baada ya...
  8. L

    Mbolea za Ruzuku wapewe JKT kusambaza

    Taarifa ya habari Leo kwenye vyombo mbalimbali waziri wa kilimo amesema msimu huu kulikuwa na changamoto ya usambazaji wa mbolea. Hivyo, msimu ujao watawatumia/watatumia vyama vya ushirika. Ni jambo jema kabisa. Mimi nilikuwa ninawaza hivi hawawezi kuwatumia JKT? JKT inahusika na Shughuli za...
  9. L

    Sifa nzuri za Ndege Bundi

    Kwanini Ndege Bundi anatafisiriwa kiuchawi? Nahis bundi ana faida nyingi sana...na ndio maana baadhi ya mashirika yanatumia kama nembo yao..... Baadhi ya Sifa za bundi.. Bundi ana uwezo mkubwa wa kunusa Mnyama anayekaribia kufa, ana uwezo wa kuona karibu mara nane ya uwezo wa Binadamu...
Back
Top Bottom