Wakati huwo Bora azae TU kuepusha jam.,vilevile kama mtu ana muda wa kufanya jambo la muhimu katika maisha yake,Bora alifanye,usisubiri umri Fulani ndiyo ulifanye maana mambo yanabadilika sana.
Sasa hawo watoto wanawapataje bila mwanaume? Tukubaliane kwamba Kila mmoja wetu awe Mume/Mke wote wanategemeana ili kuendeleza kizazi,lakini hakuna ambae ni muhimu zaidi ya mwingine katika Hilo
Ndoa ni changamoto sana,Bora anakununia na anakupikia na Huduma zote unapata,labda humkaza vizuri...maana ukitoka asubuhi yeye anawaza utarudi saa ngapi umkaze!
Unataka kutuambia watu wote kwenye nyumba za Ibada hawajui na hawatendi Matendo ya huruma? mafanikio Yana uwanja mpana kuyaeleza,Kwa sababu mafanikio Kila mtu anayo baadhi ya mambo anayoyaita mafanikio, lakini Kwa mtu mwingine yakawa mambo ya kawaida TU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.