Watu mnashabikia wafaransa ni waume zenu? Wafaransa ni wavamizi wa Libya na Syria. Kwanini wasingewaacha walibya na wasyria wayamalize wenyewe? Halafu tangu lini ndege za kiivita zikachagua magaidi tu na kuwaacha wananchi wa kawaida. Tukubaliane tu kuwa hawatuthamini
Inasikitisha kwa wananchi wa kawaida kuona upinzani kama maadui na dawa yao ni kuwanyoosha. Amini usiamini wote wanaouchukia upinzani kuna namna moja au nyingine wananufaika binafsi kwa ccm kuwa madarakani. Hivyo hoja zao mara nyingi zimejaa chuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.