Recent content by Lai Otieno

  1. Lai Otieno

    Rachel Mashishanga azidi kuimarisha CHADEMA Shinyanga

    Well done!kamanda Rachel.
  2. Lai Otieno

    Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

    Magamba yana tabu mwaka huu.
  3. Lai Otieno

    Nimrod Mkono aanza kuweka timu yake CHADEMA Jimbo la Musoma Vijijini

    Musoma vijijini kuna watangaza nia ya ubunge kwa sasa wamefika zaidi ya 7 na katika hao Mbura ndo amekuwa mstari wa mbele kuijenga chama.ingawa kuna Boniface Maggesa ambye naye anajaribu ila kutokana na mkazi yake ya Kazi kuwa mbali amekuwa mgumu kufika ila michango amekuwa anatoa.
  4. Lai Otieno

    CCM Musoma Mjini njooni na mgombea mpya

    Nyerere ni mkazi wa bweri tena nyumba yake ipo njia kuu kwenda shule ya parom naye sema anaishi mkendo.huyo sio mkazi wa musoma.pia kumbuka chadema musoma mjini walikuwa na viti viwili tu katika uchaguzi wa 2009.uchaguzi uliopita dec 2014 wameongeza na kufikisha 29 zilikuwa 31 ila ccm...
  5. Lai Otieno

    CCM Musoma Mjini njooni na mgombea mpya

    Wana Musoma mjini bado wanamapenzi ya kweli na Vincent nyerere.
  6. Lai Otieno

    Eng Mbura Chiragwile Ubunge Musoma Vijijini 2015

    Eng Mbura Chiragwile ametangaza nia ya kugombea ubunge musoma vijijini 2015 kupitia Chadema jimbo analotoka Nimrod Mkono.Mbura amekuwa mstari wa mbele kuhakisha Chadema inatambulika Musoma vijijini na katika uchaguzi uliopita kuwa juhudi zake yeye pamoja na mbunge wa musoma mjini napia...
  7. Lai Otieno

    All unlock codes here order now 100% money

    Its ok hamna shida nashukuru mimi ni mrembo..
  8. Lai Otieno

    All unlock codes here order now 100% money

    Dottoz mbona matusi tena ndugu yangu?
  9. Lai Otieno

    All unlock codes here order now 100% money

    Huawei Y530 inafanya kazi now naweza kutumia line zote
  10. Lai Otieno

    All unlock codes here order now 100% money

    Thnx bro nashukuru sana
  11. Lai Otieno

    Picha: Salute Red Brigade Mbeya

    Safi sana!
  12. Lai Otieno

    Vincent Nyerere ashukuru wanainchi wa Musoma mjini

    Mbunge wa Musoma mjini kamanda Vincent Nyerere napia mwenye kiti wa Chadema mkoa wa Mara leo amefanya mkutano wakupongeza wanainchi waliojitokeza kupiga kura ya serikali za mitaa pia kuwatambulisha wenyeviti wote na wajumbe wao waliochaguliwa siku ya tarhe 14 mwaka jana december.kesho anaendelea...
  13. Lai Otieno

    Vincent Nyerere kuunguruma Isimani

    Kamanda Vincent leo ameshukuru wana Musoma mjini waliojitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa serikali ya mitaa katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo..
  14. Lai Otieno

    All unlock codes here order now 100% money

    Nimetuma text message whatsapp nimeona kimya
Back
Top Bottom