Mwenyekiti wa Bawacha mkoa wa Shinyanga kamanda Rachel Mashishanga Robert. akitoa mafunzo kwa kina mama wilaya ya shinyinga, mafunzo ni endelevu kwa kila jimbo . Mafunzo kwa mabadiliko na maendeleo.hii ni moja wapo ya ziara yake kila kona ya Mkoa mzima wa Shinyanga kuhakiksha Chadema ina imarika..