Vincent Nyerere ashukuru wanainchi wa Musoma mjini

Vincent Nyerere ashukuru wanainchi wa Musoma mjini

Lai Otieno

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
311
Reaction score
90
Mbunge wa Musoma mjini kamanda Vincent Nyerere napia mwenye kiti wa Chadema mkoa wa Mara leo amefanya mkutano wakupongeza wanainchi waliojitokeza kupiga kura ya serikali za mitaa pia kuwatambulisha wenyeviti wote na wajumbe wao waliochaguliwa siku ya tarhe 14 mwaka jana december.kesho anaendelea na ziara ya kupongeza wanainchi katika wilaya mbali mbali mkoa wa Mara..
 

Attachments

  • 1420743392993.jpg
    1420743392993.jpg
    79.2 KB · Views: 983
  • 1420743409878.jpg
    1420743409878.jpg
    83.1 KB · Views: 896
  • 1420743456534.jpg
    1420743456534.jpg
    76.2 KB · Views: 3,127
Mungu amlinde, na awape ushirikiano wananchi wake katika kujiletea maendeleo. Kazi nzuri sana.
 
Ama kweli CHADEMA ni mpango wa MUNGU....Mwaka huu, CHADEMA mwendo mdundo tu ! Hivi akina Nape na Wasira wake walio itabiria CHADEMA kwamba ingekufa mwaka jana, wanaopona inavyoshamiri wanajisikiaje ?
 
....

Nafarijika sana kweli Mungu anakwenda kusema NENO !!!

attachment.php
 
Kwani Msoma mjini uchaguzi ulikuaje? Sijui chadema wameshinda viti vingapi kati ya vingapi? Ebu nijuzeni kwa hilo.
 
Kwani Msoma mjini uchaguzi ulikuaje? Sijui chadema wameshinda viti vingapi kati ya vingapi? Ebu nijuzeni kwa hilo.

chadema wameshindwa mpaka mtaa anaokaa vicent wamepigwa chini
 
Kwani Msoma mjini uchaguzi ulikuaje? Sijui chadema wameshinda viti vingapi kati ya vingapi? Ebu nijuzeni kwa hilo.

kutokana na maelezo ya Mohamed Mtoi cdm ilipata 30 na ccm 35,lakini kuna mitaa mitano(5) ambayo uchaguzi haujafanyika kwakuwa ccm walikimbilia mahakamani kuzuia uchaguzi usifanyike na mpaka muda huu haijulikani kama utafanyika tena,wanajua kabisa kote huko wanaenda kupokea kipigo cha mbwa mwitu
 
Nitasema na ninaendelea kusema Musoma mebarikiwa kuwa na mtu kama vicent nyerere
 
Back
Top Bottom