Recent content by LadyV

  1. LadyV

    Utengenezaji wa rangi za maji za ukutani

    Ningependa kujua mtaa wanapouza malighafi hizi hapo Kariakoo, na Mimi nikajaribu hata kanyumba kang'ae
  2. LadyV

    Hivi kwani Mungu anajibu maombi mabaya?

    Maneno yanaumba hata kama sio Mungi basi shetani nae anaweza kupita nayo.
  3. LadyV

    Naona mapema nitashindwana na huyu Single Mother

    Nina watoto ndugu, kuanzia Baba, Babu, Bibi, Mama na Baba wadogo wote ni mwamba kwenye malezi. Watoto wakikosea wanawarekebisha hata nisipokuwepo na nikirudi naelezwa. Huyo baba hata kama mtoto sio wake, ana uwezo wa kumpa maelekezo mtoto kwa njia itakayokuwa receptive kwa mtoto, ya kumjenga...
  4. LadyV

    Naona mapema nitashindwana na huyu Single Mother

    Actually, anampenda mwanamke ila anamchukia mtoto. Embu atujibu kama amewahi kukaa na mtoto na kumfundisha kuwa amekua sasa hakuna kunyonya vidole.
  5. LadyV

    Wanawake wananikimbia kisa nina tatizo la kuwa na matiti kama ya kike, naombeni msaada

    Nenda hospitali, shida ni hormones, utapewa dawa tu.
  6. LadyV

    Yupo wapi Mponjoli Malakasuka?

    Alikuwa mtu poa sana aisee na kweli alitoka jela akakaa UK. Ila naona amefungwa tena US.
  7. LadyV

    Wapi naweza kupata hizi silicone ya ajili ya kutengeneza sabuni?

    Jaribu Gerezani kwa Noor mtaa wa Omar londo au kwa Tumbo packages soko la mbogaboga lilipogamia
  8. LadyV

    Namchuna mme wa mtu kwa miaka miwili sasa lakini hajawahi kuhitaji chochote kutoka kwangu!

    nimecheka! sasa kama unaogopa kutolewa kafara mbona its too late! atleast umefanya ya maana. Anyway, wengine wanahitaji mtu wa kuongea nae tu, kila mtu ana stress, wanawake tutaongea na shosti, bff, mama, ma'mdogo, dada, binamu au hata kuongea na Doctor ukipenda. Ila kwa upande wa wanaume kwa...
  9. LadyV

    Mrejesho: Boss ananitaka kingono, nipo njia panda, naomba ushauri

    nimesikitika kuachishwa kwako kazi ila hongera kwasababu huwezi kujua huo mzunguko wa maradhi uliyoyaepuka! kitendo ulichofanya unaweza kukuta umechangua kuishi huru kuliko kuishi kwenye kifungo cha maisha. Stay blessed!
  10. LadyV

    Mke wangu simwelewi kabisa, ananilazimisha niwe na mchepuko

    Nishawahi kusikia Husbands wanawatafutia wake zao Kungwi, unamlipa kungwi na kumwambia matatizo ya mkeo, yeye atamuita na kumfunda unayotaka ajue. Ni wazo tu.
  11. LadyV

    Kuhusu kukaribisha wageni chakula

    yes it was rude. kwani mngegawana four ways hata kama ni kidogo, mngepungukiwa nini? wakati chakula chote unaenda kukiacha chooni!
Back
Top Bottom