kuuliza si ujinga, ila kwasababu umeonyesha dhahiri we ni UKAHAWA....sikushangai...tutakubishia 25 october. mtakapoamua kupaki nyumbani hizo chopa zenu.
Sehemu wanazofika ni chache, ikumbukwe Magufuli anaenda kila jimbo kura zilipo....je wewe ulassa huku usipofika kura zao hutaki? kura moja sio muhimu? si una hizo ndege babu? bado unachoka? au ndo unasubiri tuseme utuue? #achatufe
Nimekuelewa sana kijana, lakini swali linakuja, ni bora nibakie nimedumaa akili yangu na Uccm wangu au niwe mjinga nimeze matapishi yangu mwenyewe? CCM hamna mtu ambae angeitaka mwaka huu kama tungekua na the right candidate wa kumpatia nchi yetu, Lowassa ni zaidi ya upuuzi uliofanywa na CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.