Recent content by ladyc

  1. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Nikwambie tu ukweli wewe ni mtoto wa kiume ni aibu sana kuongea vitu usivyokua na uhakika navyo hata kwa asilimia 1 Umenikwaza sana nikwambie tu ukweli Sijui lengo ni nini kuanza kuandika vitu visivyo na ukweli hata kidogo
  2. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Mmmmh una uhakika na unachokisema? Ila pole
  3. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    ASANTE
  4. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    ASANTE
  5. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Ni kweli una haki ya kuandika chochote ila sio busara kuandika kitu usicho na uhakika nacho
  6. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Amen
  7. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Amen
  8. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Wapo kaka angu wanaume wa hivyo na ni wengi sana
  9. L

    Kwa mwanaume alie na nia ya dhati

    Morning! Mimi ni mwanamke wa miaka 28, kama binadamu inawezekana nina mapungufu yangu lakini matukio niliyopitia kwenye mahusiano yamenifanya kuwa mnyonge na kukata sana tamaa ingawa sitamani kabisa maisha ya u single. Sina uhakika kama huku naweza pata mwanaume atakae nielewa na kuthamini...
  10. L

    Natafuta nafasi ya kazi yeyote, hususani ya Ualimu

    Somo la kufundishia nilisoma history ila pia huwa nafundisha civics
  11. L

    Wanaume tuweni makini!

    Hahaa nimejikuta nimecheka ila pole mkaka, huyo dada inawezekana hajakua na hajawahi kukutana na mauza uza kwenye mahusiano Utapata tu wa kufanana na wewe huyo hakuwahi kukupenda
  12. L

    Natafuta nafasi ya kazi yeyote, hususani ya Ualimu

    Habari Mimi ni msichana, nimekuja hapa kutafuta nafasi yoyote ya kazi iliyo halali au itayokayoendana na fani Kielimu nina Degree ya Elimu ya watu wazima na Maendeleo ya jamii ( Bachelor of Education in Adult Eduation and Community Development) Nimehitimu chuo 2013 na baada ya hapo...
  13. L

    Ushauri: Amekuwa ni mtu mwenye hasira na kubadilika badilika

    Mwanzoni haikua hivi hii hali imetokea baada ya yy kupata matatizo
  14. L

    Ushauri: Amekuwa ni mtu mwenye hasira na kubadilika badilika

    Hahaaa... asante kwa ushauri ila kama ni wakati mgumu ananipa nikisema nmchunie atalalamika sionyeshi kumjali ila ngoja niende nae hivyo hivyo
Back
Top Bottom