Hallow, samahan, mimi nina cheti cha computer na nina uzoefu wa kaz ya usecretary ila naomba kujua kabla cjatuma cv yangu, je hiyo ni kampuni au hiyo ofisi inashughulika na nini?
Hi wapendwa, bado cjapata kazi, nimesomea computer baada ya kumaliza form 4, na Nina uzoefu wa kaz za stationary kwa miaka 3, yoyote mwenye uhitaji wa binti wa kazi hizo anisaidie, 0715 917427 nipo Dar
Kama upo ubungo kibangu, kuna mzee ni doctor ana pharmacy yake anaitwa bukavu, yupo maeneo ya kanisa la Roma mbele kdg kituo cha muembe garage, atakupa ushauri mzuri sana, watu wengi wanamtumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.