hapana aisee....... mambo kama hayo si lazima uonje ila nilifanya reseach kwa baadhi ya wadada nikaona niitupie hewani na ndio maana nikaandika SI WOTE.
kila mtu ana style yake yakupenda na hata wanaume ni vivyo hivyo anaweza akavutiwa na kitu kidogo sana kwa mwanamke at the end of the day unashangaa wako pamoja wanakulana:tape2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.