Recent content by Laco jaco

  1. Laco jaco

    Tofauti ya Lissu na Zitto ni hii hapa

    Ulichokifanya ni hichi hapa Lissu=conte Zitto=Lwandamila Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Laco jaco

    Kamati ya Nidhamu ya TFF imemfutia adhabu msemaji wa Simba, Haji Manara

    manara namkubali sana hapa... this is simba bwana apo2 Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
  3. Laco jaco

    Ni nani mwanasiasa wako bora awamu ya tano?

    lissu sioni ata wa kumsimamisha nae Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
  4. Laco jaco

    Rais Magufuli juu ya ofisi za serikali kulindwa na Suma JKT

    siyo kweli mkuu haifiki ata laki mbili na hawana ata posho kama kweli serikali ikidhamiria kuwasaidia ndugu zetu ambao hawakupata nafasi ya kupata ajira iangalie maslahi yao siyo mazuri kabsa nna mdogo wangu yupo Suma kipato ni kidogo mno
  5. Laco jaco

    Rais Magufuli juu ya ofisi za serikali kulindwa na Suma JKT

    Lakini hata hao Suma Jkt wanvolipwa ni pesa ndogo mno nna mdogo wangu yupo Suma Jkt kipato chao hakifiki hata laki mbili kama ikiwa ni hivyo itakuwa ni sahihi kwa vijana wetu wa Jkt angalau kushikwa mkono kwa namna hiyo,ila masilahi yao bado si ya kulidhisha ukilinganisha na makampun mengine...
  6. Laco jaco

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Akija kukuzingua utarudia2
Back
Top Bottom