Imetumia vigezo gani vya kumsamehe...waache kuleta Siasa za ukabila na uzandiki kweney michezo...huyu jamaa ana mdomo mchafu hakustahili kufunguliwa...najua wamefanya hivyo kuukuomoa uongozi uliopita...Kamati ya nidhamu TFF imemuachia huru mkuu wa kitengo cha Habari Simba Manara sasa kuendelea na majukumu yake.
View attachment 544409
Kwani huyu ni Mchezaji no ngapi hapo Simba ndio Yanga iwe ni habari mbaya kwao??Hii ni habari mbaya sana kwa yebo yebo FC
Youngblood
Mchezaji namba 12Kwani huyu ni Mchezaji no ngapi hapo Simba ndio Yanga iwe ni habari mbaya kwao??
alikata rufaa amesikilizwa. Manara amepeleka ushaihidi ya kile alichoongea hatimaye kamati ya nidhamu imejiridhisha na tuhuma zilizoelekezwa kwa malinzi.Imetumia vigezo gani vya kumsamehe...waache kuleta Siasa za ukabila na uzandiki kweney michezo...huyu jamaa ana mdomo mchafu hakustahili kufunguliwa...najua wamefanya hivyo kuukuomoa uongozi uliopita...
Imepenya hiyo mkuuImetumia vigezo gani vya kumsamehe...waache kuleta Siasa za ukabila na uzandiki kweney michezo...huyu jamaa ana mdomo mchafu hakustahili kufunguliwa...najua wamefanya hivyo kuukuomoa uongozi uliopita...
alikata rufaa amesikilizwa. Manara amepeleka ushaihidi ya kile alichoongea hatimaye kamati ya nidhamu imejiridhisha na tuhuma zilizoelekezwa kwa malinzi.