Recent content by lacazete

  1. lacazete

    Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

    Alishasema yeye na mwenda zake ni WAMOJA. Last year mwenda zake alitumia hela za serikali kuwajengea maRais wastaafu nyumba mpya na hakuna aliyehoji hilo jambo,hivi kikwete anaweza kuwa na shida ya nyumba kweli?????????
  2. lacazete

    Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

    Pia last year mwenda zake aliwapa marais wastaafu nyumba,hakuna aliyehoji hilo jambo, aligawa hela kila kona hakuna aliyehoji matumizi mabaya ya fedha. Mama kazi IENDELEE.
  3. lacazete

    Tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani, anatumia usafiri wa ndege tu, gharama zikoje hapa

    Mkuu umemaliza uzi👍👍👍 Mwenda zake alikuwa na v8 karibu 100 magari ya matangazo na ya ulinzi.plus hela alizokuwa anagawa njiani. Trip moja ya mwendazake ni sawa na trip zaidi ya 20 za Mama.
  4. lacazete

    Ushuhuda wangu: Nilivyotembea na wake za watu

    Swali zuri sana kiti chema "Mla vya wenziwe na vyake uliwa" So far sijapenda vile alivyo transparent ukiunganisha dot unaweza mjuwa mwanamke aliyemla,siyo msiri!!
  5. lacazete

    TANESCO inaweza ikatengeneza faida kubwa sana endapo wataanza kukopesha units za LUKU. Hii ni ngumu kwa mteja kukwepa marejesho

    Unaweza ukawa na wazo zuri labda utufafanulie kidogo,unataka TANESCO ndo wapate faida au mwananchi asiye na uwezo wa kununua umeme ndo AFAIDIKE NA MKOPO?? Kumbuka huduma ya sasa ni "pre paid" hivyo TANESCO wanapata fedha nyingi sana kwa kukaa na fedha zetu tulizonunulia unit ambazo bado...
  6. lacazete

    Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

    Sijamuona actually nasikiliza kwenye radio!! Hotuba imeisha covid 19 wameshangilia mpaka wanataka kurukaruka.
  7. lacazete

    Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

    Hii hotuba mama angeitoa baada ya mwezi mtukufu, Dakika 90 mkuu BILA BILA tuna wabunge wa hovyo sana wanashangilia KILA KITU.
  8. lacazete

    Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

    Mkuu dakika ya 25 sasa hajataja hata moja🤔🤔🤔
  9. lacazete

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

    Mkuu huyo PM presentation yake ndo hakuiweka sawa,ukweli ni kuwa mwendazake alishakuwa ametoa order na advance,hivyo hawakuwa na namna ya ku cancel hiyo order!! Ila am sure siku zikiletwa hakutakuwa na ule ujinga wa kushinda airport kusubiri kupokea ndege🤔🤔
  10. lacazete

    Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

    Jamani mbona Mbowe kaweka clear kabisa hilo!!!? It was strategically kuforwad barua kwenye email binafsi badala ya ile ya kampuni,na ulikuwa ni mpango maalum wa kumfilisi. *Ni kichaa pekee anayeweza kutuma email kwa mtu ambayo Tanzania nzima inajuwa yupo segerea na kukaa kusubiria majibu...
  11. lacazete

    Kero ya barabara ya King'ori - Ngarinanyuki - Oldonyosambu

    Poleni wananchi wa huko,nilimsikia naibu waziri wiki iliyopita akiizunhumzia hiyo barabara ila aliongea KISIASA kuwa barabara zote zitajengwa ila kwa utaratibu wa moja baada ya nyingine,zamu yenu unaweza kuwa 2045.
  12. lacazete

    CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

    Stand haipo kwenye hifadhi ya barabara isipokuwa ili mabasi kutoka kituoni ni LAZIMA yatasababisha foleni,anachoelezea CAG ni kuwa wakati wa ramani ya mradi wa njia 8 hakukukuwa na hiyo plan ya stand kuwa hapo ilipo hivyo imeleta MWINGILIANO,yamkini kama kwenye ramani wangeambiwa wangejuwa...
  13. lacazete

    Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

    Aisee Aiseeh!! Kumbe alikuwa anajuwa hayo toka mwakajuzi ila aliogopa kumkosoa mwendazake!!!🤔🥺
Back
Top Bottom