Nitajielemisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote... Rushwa ni adui wa Haki... Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja..
Napendekeza mjadala wa kitaifa kuhusu kuruhusu ulimaji na matumizi ya mmea wa Bangi kama zao la biashara kwa matumizi ya dawa (medicinal purposes) na matumizi mengine mengi.
Nchi nyingi 'zimeshalegalize' mmea huu zikiwemo baadhi katika bara letu la Africa. Tuwaulize na kuthibitisha faida za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.