Recent content by La Princesa

  1. L

    Ninatamani iwepo sheria ya kulazimisha watu kuitwa kwa majina yao ya asili ya makabila yao badala ya haya ya kizungu na kiarabu

    Mi ningekuwa waziri ningepeleka muswada kabisa..tunaua identity zetu kabisa..waafrika wenzetu wanajitahidi especially Wanigeria,Ghana,Sudan,SA
  2. L

    Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Hivi kuna athari gani endapo nchi itaruhusu kununua hisa bila kutumia madalali?msinifokee lakini nna dose ya malaria halafu ni last born nielewesheni polepole
  3. L

    Watanganyika bado mnataka Muungano eh? Someni hapa chini?

    Mwinyi asili yake ni bara
  4. L

    Biashara ya dagaa kutoka ziwa victoria mkoani ni fursa jamani

    We uko wapi?mimi bado ni mjasiriamali mchanga huwa nachukulia Kayenze ndogo wale wa leo leo,natamani kufika level ya magunia na nipate soko mostly Dar es Salaam
  5. L

    Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

    Mdogo wangu, ukweli mchungu ni huu,kama ni mtu anayekuelewa ama mnaeendana, utatimiza, ila kama hamuendani SAHAU.dadako nilikuwa na ndoto za kuwa mwanasiasa zilizimwa ziii
  6. L

    Kwanini Tundu Lissu anapewa airtime kubwa sana ITV kuliko Rais wa nchi? Serikali iwachunguze!

    We ni kapuuzi...Millard Ayo mbona hajampa Tundu Lisu hata sekunde 10 na anajisikia amani tu
  7. L

    Takwimu za talaka nchi mbalimbali

    Aisee, taasisi ya ndoa inazidi kukanyagwa 😔Heko kwa wahindi
Back
Top Bottom