shabaaaash,,,hili ndo nilikua nalisubr tangia cku mingi!ukitaka kuwa maarufu kuliko chama na maslah ya watz nenda CCM,TLP etc co CHADEMA!mwendo mdundo sasa,,,asante Yericko kwa kuanza kuchokonoa ukweli ambao sasa tumepasua jipu...tumepona sasa,,,,MUNGU ibark CHADEMA pia na Tz.