Nimeachana na kuwa na wanawake hovyo ndani ya mwaka mmoja tu nimeweza kusave hela na kupata nyumba mbili moja iko tayari nyingine iko katika finishing.. umalaya unamaliza sana Hela aisee
Kwako Paroko,
Mimi ni muumini wa kanisa tajwa hapo juu, na huwa nahudhuria misa takatifu kila jumapili , kuna baadhi ya mambo sioni kama yako sawa juu ya uendeshaji wa misa katika parokia hii.
Kwanza, mwanzo wa misa kunakuwa na mlolongo wa matangazo ambayo hayana hata tija kwa maana ya kwamba...
Mimi binafsi sijawahi kufurahia sherehe yeyote inayohusiana na mchakato mzima wa ndoa, iwe send off, ndoa yenyewe, hata reception, yan naona ni kupotezeana muda tu, mfano vile vikao sijui hata kama kuna kitu gani cha maana tunajadili pale zaidi kutamaniana na wanakamati na kuwapiga miti wake za...
Ni vile tunaendekeza njaa na dhiki inayoambatana na ufinyu wa fikra na roho mbaya kwa viumbe hivi, ila kumfanyia jambo lenye mlengo wa kuhonga kwa mwanamke kuna raha aisee, kwanza ukishampatia kama pesa basi unajiskia burudani kabisa hata kama ni chache ,na inakuwa kama chachandu kwenye mapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.