chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,689
- 22,702
pole mkuu. kwanini hukufunga ndoa?Naomba nizungumze kulingana na uzoefu nilioupata coz mimi nimeoa huko huko uchagani lkn kwa sasa ndoa hakuna tena na niliamua kwenda kuoa nyumbn kijijini....iko hivi mtafute mchaga mwenzao awe mshenga wako na hakikisha anajua kuongea vizuri asiwe muoga
Pili hakikisha wakati unafanya maandalizi hayo uwe tyr umeshayasoma mazingira ya hao wakwe zako ili mjue mnaingia vipi siku iyo maana wachaga kwa shughuli ndio zao
Tatu unatakiwa kufahamu wachaga kitendo cha kumuozesha mtoto wao hupenda kufanya shughuli ingawaje gharama za iyo shughuli ni zao lkn na wao kupitia iyo shughuli watataka pesa yao ya kumkuza uyo mtoto iweze kurudi kwa kiasi flani
Nne na la mwisho japo si kwa umuhimu kumbuka hapo si kwenda kutoa barua tu wanategemea unaenda kutoa na mahali kabisa sasa hapa mzee jipange coz huwa inategemea na familia yao mimi niliambiwa mahali milioni tatu cash na kama anamimba ujue kuna faini pia unatakiwa uwende na creti la bia moja pamoja na la soda moja na pia huwa wanakuwa na faini za kishamba kwa mfano mkichelewa kwa tukio faini maana yake hapo ela na kuna mafaini kutoka kwa makaka zake na faini za kumpa ujauzito kabla ya ndoa.
Nb;Wachaga wanapenda sana baada ya mahali mfunge ndoaaaaaaaaaaa kabisa hapo ndipo niliposhindwa mimi na kuamua kughairi lkn mahali nilishatoa