Leo nimepata kusikiliza chimbuko la kabila linalopatikana Arusha chini ya vilima vidogo vidogo chili ya Mlima mkuu Meru
Asili
Kabila hili limetoka katika milima ya usambara na kusogea katika mkoa wa kilimanjaro miaka 800 iliyopita ambapo kila walilpo pita waliacha alama, ambapo waliishi na...
Kikawaida hakuna wameru Tanzania, Meru ipo kenya ila baada ya ya WARWA kukimbia kutoka uchagani walienda chini ya mlima Meru hapo ndipo waliishi mda mrefu ndio wakaamua kujiita Wameru kwasababu wapo chini ya mlima Meru ila sio kwamba wao ni Wameru asili (my opinion)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.