Daah,,umekosea kweli wewe. Yaani hizo nyimbo zako wenzako waliwaimbia watz zamaani ile mbaya we unazileta leo wakati zinasikilizwa na mazuzu kama kina matonya,,we unafikiri unaweza kuwaaminisha watz wa leo ambao ni waelewa kwa hiyo maneno yako ya kipimbi watz wa leo...
Siku zote mwenyezi Mungu ni mwema kwa waja wake na huwa sikio lake ni sikivu na mkono wake pia ni mrefu ndio maana kile kinacholiliwa na wengi kwa huzuni na masikitiko ya dhati huwa anawasikia na kuwanyanyulia wamliliao kama anaeliliwa kafanyiwa kwa husda za watu na sio kwa mapenzi yake...
Yupo anaepaita hivyo,,njaa haiwezi kumuacha mtu salama. Sijawahi kuona post ya mtu wa hovyo kama huyu anaeitwa Njaa huko kwa wakina hovyo hovyo fulani wanaojiona watakatifu kwa kukaa eti sehem takatifu. Yaani wewe Njaa umeleta andiko ambalo tayari umeshamuona fulani ni mdhambi na mwingine...
Halafu dkk kadhaa anakuja kutembelewa anapewa pole yupo freesh kabisa na kumshukuru aliekuja kumpa pole,,. Risasi tatu za tumbo,,!!! Daah,,mapichapicha haya,,only in bongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Zidane ndio rais wa tiefu efu,,Makomeo wamemosama,,Hulk Hogan anamiliki clouds fm ameshirikiana na Matonya kuinunua facebook na wamemtangaza Bashite kuwa presidaa wa mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jinsi unavyoonyesha ww wamekwishakudadavua sana huo mtaro, yaani hapo marinda yote wameyadadavua hamna hata alama yaani mfereji full midadavuo kwa kuzibuliwa. Post zako tu mbona zinajieleza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.