Taifa linamhitaji kila mtu! Ila Zito alihitajiwa zaidi na wasiolitakia mema taifa, wanaofikiria zaidi maslahi yao kuliko maslahi mapana ya taifa letu, sasa ameruhusiwa rasmi akawatumikie hao na si taifa! Zito go,go,gooo!
Mwanadiwani hoja ya ubaguzi ilishachuja labda muanzishe nyingine! Tangu muanze kuisema chadema imezidi kuenea hata ambako hatukutegemea kifupi hoja hio imezeeka bila hata mtoto!
Kama Angekuwa na impact kubwa katika uhai wa Chadema tungeona kwenye serikali za mitaa lakini chakushangaza ndo Chadema imepata viti vingi kuliko wakati akiwepo, kwa hio akwende zake kunguni mkubwa!
mkuu niweke ushahidi kama upi? bahati mbaya sikuweza kumrekodi zaidi tu ya kupiga picha chopa lake namkutano kwa ujumla,ila alikuwa na waandishi wa habari ambao nadhani kwa maadili ya taaluma zao hawawezi yarusha hewani yale matusi!
Akihutubia mkutano wa hadhara katika kijiji cha nyihara katika kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali wa chama cha mapinduzi,mheshimiwa mbunge Lakairo aliishia kutoa matusi ya nguoni kwa wananchi baada ya kuambiwa kuwa atimize ahadi zake alizowaahidi wakati wa kampeini mwaka 2010.
Alisema...
CHADEMA imekuwa ikikumbwa na misukosuko mingi hasa kadiri siku za uchaguzi zinavokaribia. kali zaidi ni hili la waliojitambulisha kama wajumbe wa kamati kuu ya chama nakutoa mlolongo wa kashfa kibao dhidi ya viongozi wakuu wa chama, ambazo kimsingi nimarudio na zilisha jibiwa, kama Mtanzania...
safi sana mheshimiwa LAWA! nakumbuka ulitangaza nia mapema kwamba 2015 uko ulingoni,ila ya Mungu mengi,kinyang,anyiro kimekuwa karibu,wana Kalenga mpeni kura Mwl LAWA atawawakilisha vyema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.