Mabeberu na wanaotuonea husuda wameiandika na kuitangaza sana hii habari!Washington post, AFP,BBC.RFA,.Hapa kazi tu.Wahenga walisema mti wenye matunda hurushiwa mawe!
Tunapozungumza ukombozi wa mwanamke Tanzania,maranyingi masista husahaulika,ni kazi waliyoifanya miaka mingi,tuanze na St Mary(sasa Kilakala)Kiraeni,Kibosho wasichana..orodha ni ndefu
Kenya siku ya leo wamepunguza garama za kutuma na kupokea miamala kwenye simu na garama za kupiga simu kama njia ya kuwajengea wananchi uwezo dhidi ya CV 19.
Kutumia mabilioni kutengeneza kivutio cha utalii? MWENZI MUNGU alitupa nchi nzuri, tazama ramani mlima Kilimanjaro, Ngorongoro hadi,Serengeti.Labda unamaanisha utalii kuja kushangaa magorofa yanayotiririsha majitaka,kusabaisha msongamano wa watu ,magari na uchafuzi wa mazingira .
Mjadala mkubwa umezuka kuhusu mwelekeo wa ushirikiano wa vyama vikuu vya upinzani vinavyounda UKAWA na hatua ya kumkaribisha Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa, ili kushirikiana kuiondosha madarakani CCM pamoja na mfumo wake wa kikandamizaji na kifisadi ulioambatana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.