Ni kweli unavyosema ndugu lkn elimu hii ya meditation huwez Kuidhaminisha kwa pesa yoyote kwa sababu ni zaidi ya hivyo na kikubwa faida inayopatikana kwa mtoaji ni yeye anapata kwa jinc anavyotoa na si vinginevyo hiyo ni sheria ya giving ukitaka upate lzm utoe kwa kile kidogo ulicho nacho ili...
The path society ni jumuia ya walimu wa meditation waliojitolea kukufundisha kufanya meditation baada ya kuona kwa jinc gani jamii ya kitanzania inauhitaji wa meditation katika maisha yao
Fanya maisha yako yawe na maana sana kwa kufanya meditation na uwe mtu bora na siyo bora mtu. Elimu hii...
Wote ambao tunaanza kufanya kwa mara ya kwanza mawazo yanaingia kati kikumba usiweke akili yako kwenye mawazo lkn zingatia pumz na umakini wako uwe kwenye pumz inavyotoka na kuingia wazo lolote likija let it go na urejeshe umakini wako kwenye pumzi
Ndugu usiwe ignorant kiasi hicho ku conclude vitu usivyo vijua hawa wanaozungumza wamefanya wewe unaonekana unaijua meditation sana kuliko mtu anaye practice wakt wewe hupractice anyway meditation is not about concepts or facts bt is action and practices
Hapana siyo against na mungu kabisa tena na kwakishia meditation inakutransform na kukufanya uwe a Godly person kwa vitendo siyo kwa kuongea maana km utafanya jambo lolote baya kwa ndugu yako au kwa nafsi yako basi huwezi kuwa comfortable km una meditate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.