Write your reply...Kuna tofauti kati ya kazi na ajira.
Kinachosumbua ni ajira lakini kazi zipo nyingi tu ( kwa tafsiri sisisi ya neno kazi).
Tatizo vijana wengi wanasoma ili waajiriwe lakini mawazo ya kujiajiri wenyewe hawana.
Kumbuka siku zote ukiajiriwa maana yake unatumikia wazo la mwajiri...
Write your reply..Kumbukumbu zangu zinanionyesha kwamba wimbo wa Tanzania Tanzania ulitungwa ama alishiriki kwa kiasi kikubwa kuutunga hayati baba wa taifa Mwl. J.K.Nyerere.
Habari wana jf mimi nina tatizo la jino moja la mbele upande wa juu. Ni kwamba jino hili linalegea na kusogea kidogo kidogo kutoka kwenye mzizi wake, lakini cha ajabu ni kwamba sisikii maumivu yoyote hata wakati wa kula chakula ni zaidi ya miaka mitatu sasa tangu hali hii nianze kuihisi. Naomba...
Nawaiteni walenga watungaji wa zamani
Wenye ujuzi kutunga, mafumbo ya kila fani
Kuna jambo lanitinga, mnitoe mashakani
MDUDU KAINGIAJE NDANI YA KOKWA YA EMBE?
Write your reply...Hizi ni taratibu tulizojiwekea sisi wenyewe binadamu ndiyo maana tunaendelelea kuzifuata pamoja na usumbufu wote tunaoupata, angekuwa ni Mungu kaagiza hivyo sidhani kama tungekuwa tunazishikilia kiasi hicho. Ni rahisi kumtii shetani kuliko Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.