Huyu mkuu wa wilaya chama cha walimu inabidi wamshitaki kwa mkaguzi mkuu wa shule wa kanda kwasababu hakuwa na lesson plan na teaching aids alizokuwa nazo pistol na risasi anahatarisha maisha ya wanafunzi!
muzoea vya kunyonga vya kuchinja hawezi, huku naweza kusema kwamba wanachama wa chadema waliamua kwa hali yoyote kushinda uchaguzi kwani ukiangalia kuanzia kwenye kampeni wananchi ,wanachamma na viongozi walionyesha umakini sana na hapa natoa mfano mmoja wa wabunge kuamua kuwa mawakara kitu...
makamanda wa wa chadema KIBOKO NYERERE, SUGU,G. LEMA , MDEE, SILINDE, LWAKATARE wakiongozwa na mwenyekiti na katibu WA CHADEMA taifa pamoja na wana arumeru nawapongeza sana kwa umakini mlioonyesha katika zoezi lote la uchaguzi na kuweza kuandika historia adimu katika nchi yetu.MNYONGE MNYONGENI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.