Recent content by kyeli

  1. K

    Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

    Ni mtazamo pia wa wanaume... wakitongozwa na wanawake wengi hawakubali na kumwona kama mwanamke ni muhuni.
  2. K

    Napenda ngono kupita maelezo

    Ukitambua tatizo ni kama nusu yake umeshaanza kulitatua tatizo, jitahidi kufanya mazoezi, kusali na ukiweza waone washauri (counsellers) watakusaidia sana.
  3. K

    mwanamke unaanzaje anzaje kumuachia HOUSEGIRL afue BOXER ya mmeo..

    Mmmh! hiyo ya kumuachia dada kufua boxer ya mume sasa kali.
  4. K

    Wanawake kujilinganisha na wanaume ni sign ya low self esteem

    Umenena professional zaidi, mie nimekupata vizuri sana.
  5. K

    Love connect Party

    Ha haaaa aaa! nyie mnachekesha kweli.
  6. K

    Wasichana wa humu JF hawaeleweki na hawako serious ktk mahusiano.

    Pole sana ndugu, jamani kama haupo serious kwa nn unaanza kum pm mtu na umeona kabisa kqenye status ameeleza anachotaka? guys tupunguzeni utani.
  7. K

    Hodi hodi humu ndani

    Ha haaaaa aaaaa, asante mkuu.
  8. K

    Hodi hodi humu ndani

    Asante kwa ufafanuzi.
  9. K

    Mwanamke aliyetayari kwa ndoa

    Hi, mimi pia ni mwajiriwa serikalini, naishi Dar ni mkristo, mweusi, mnene kiasi, sio mref wala mfup sn niko size ya kati na nna miaka 35. I need a husband seriously.
  10. K

    nipokeeni

    Krb mgeni mwenzangu.
  11. K

    Mwanamke mwenye miaka 30-40 anatakiwa

    Umri unaohitaji ninao na nnafanya kazi, but ni mweusi, kwa hiyo nimekukosa?
  12. K

    Natafuta Mwenza wa Maisha

    Utafanikiwa tu, all the best
  13. K

    Ladies, Unaweza Kumpigia goti Mume Wako openly?

    Ha haaaa aaa, kwa kweli hata mie siwezi mpigia mume wangu magoti. But kama umezoea kufanya hivyo its ok.
  14. K

    Wema, kajala watinga gerezani,wamliza papii kocha.

    Safi sana, hongereni kwa utu.
Back
Top Bottom