Ni muda umepita kidogo tangu niende kupokea mzigo wangu kwa huduma ya EMS pale Bukoba. Ofisa niliyemkuta zamu alishtuka alipoona kitambulisho changu cha NIDA.
Cha kwangu ni kati ya vitambulisho vya mwanzo kabisa ambavyo saini yake haionekani. Kwa mujibu wa ofisa huyo, ofisi yao ina waraka...
Leo nimeongea na rafiki yangu ambaye ni daktari. Yuko wilaya ya Bukombe na anamiliki hospitali. Katika kipindi chote cha Corona, hospitali yake haijawahi kupokea mgonjwa mwenye viashiria vya korona. Kule kwa korona haipo.
Ametoa ushuhuda kwamba, utaratibu wa kunawa mikono Mara kwa mara...
Nimeipenda hii para -
Lakini najiuliza kama Magufuli wanataka apite bila ya kupingwa, je kutakuwa na haja ya kufanya uchaguzi kuwachagua wabunge na madiwani? Kama kuna ulazima wa kuwepo kwa uchaguzi huo kigezo kitakuwa ni nini? Je, Madiwani na wabunge hakuna cha kutukuka walichofanya kuwafanya...
13 Februari 2018 saa 22:51
Maajabu: MKOJO SIO UCHAFU NI DAWA:
BABA wa watoto wawili amefichua kwamba hunywa glasi ya mkojo wake mwenyewe kila siku na anausifu kwa kumwezesha kupunguza uzito kwa kilo 50.
Kwa kipindi cha miaka sita iliyopita, Dave Murphy (54) mkazi wa Basildon, Essex nchini...
Bila shaka hii ni changamoto kwa Afisa wa afya/Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chato. Kwenye Hii biashara ana wajibu wa kuifuatilia na kuiboresha. Bila shaka amesikia maoni ya wadau hasa kwenye vifungashio. Product iko poa.
Yako makampuni mengi yanatengeneza chupa za plastic size mbalimbali. Hii...
Nawapongeza akina mama na vijana wajasiriamali wa stendi ya Chato. Napongeza hasa wale wanaouza maziwa.
Ni hivi majuzi 19/4/2020, nilipita na basi Fikosh nikitokea Mwanza kuelekea Bukoba, muda wa saa 6 mchana. Nilishawishika kununua maziwa ya mgando baada ya kuwa na hamu nayo. Yalikuwa yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.