kyarluta
Member
- Oct 28, 2019
- 24
- 12
Ni muda umepita kidogo tangu niende kupokea mzigo wangu kwa huduma ya EMS pale Bukoba. Ofisa niliyemkuta zamu alishtuka alipoona kitambulisho changu cha NIDA.
Cha kwangu ni kati ya vitambulisho vya mwanzo kabisa ambavyo saini yake haionekani. Kwa mujibu wa ofisa huyo, ofisi yao ina waraka unaozuia kupokea vitambulisho hivyo ambavyo havina saini.
Swali langu ni je, ni kweli waraka huo upo ama ofisa aliteleza? Na kama ni kweli naomba kuelimishwa utaratibu unaotumika ili kuvibadili.
Cha kwangu ni kati ya vitambulisho vya mwanzo kabisa ambavyo saini yake haionekani. Kwa mujibu wa ofisa huyo, ofisi yao ina waraka unaozuia kupokea vitambulisho hivyo ambavyo havina saini.
Swali langu ni je, ni kweli waraka huo upo ama ofisa aliteleza? Na kama ni kweli naomba kuelimishwa utaratibu unaotumika ili kuvibadili.