Recent content by kyando12

  1. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nataka kuhamia DAR Jiji (Ilala) na siyo handeni.
  2. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO TEMEKE, NIJE ILALA ( DAR JIJI). IDARA- SEKONDARI.
  3. K

    Kishkwambi Cha mwalimu

    Well said. Hakuna msomi anaedharau fani ya mwingine, otherwise ni mbabaishaji.
  4. K

    Chuo Cha kufundisha kunyoa.

    Kichwa Cha ndege John? [emoji1][emoji1][emoji1]
  5. K

    Chuo Cha kufundisha kunyoa.

    [emoji120][emoji120][emoji120]
  6. K

    Chuo Cha kufundisha kunyoa ( vinyozi)

    [emoji89][emoji120][emoji120][emoji120]
  7. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kibaha Mji nije Dar Jiji (Ilala Municipal). Idara- Sekondari
  8. K

    Chuo Cha kufundisha kunyoa ( vinyozi)

    Habari za leo ndugu. Natumai mu buheri wa afya. Wadau, naomba kujuzwa chuo Cha kufundisha kunyoa (vinyozi) kwa hapa Dar, kinapatikanaa sehemu gani, au kinaitwaje? Natumai mtanisaidia kwa hili. Karibuni.
  9. K

    Chuo Cha kufundisha kunyoa.

    Habari za leo ndugu, natumai mu buheri wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujuzwa chuo kinachofundisha kunyoa (vinyozi) kwa hapa Dar. Nitashukuru nikipata huu msaada wadau.
  10. K

    Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

    Uko sahihi kabisa. Tunazo pande mbili za Tanzania. Tanzania bara na Tanzania visiwani.
  11. K

    Msaada ufugaji wa nyuki

    Unapatikana wapi? Bei ya mzinga ni sh.ngapi?
  12. K

    INAUZWA Uuzaji Wa Flat Tv Na Subwoofer Aina Zote

    Weka picha na bei tafadhali. Hii kitu naitaka.
  13. K

    Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia Taifa - Desemba 8, 2021

    Soma tangazo, mbona linajieleza.
  14. K

    Business partners for Black soldiers fly production

    Toa elimu kidogo kuhusu huu mradi. Black soldiers fly ni nini, malighafi, mchakato wa uzalishaji, soko n.k. Nina imani wengi hatuujui huu mradi. Natanguliza shukrani mkuu.
Back
Top Bottom