Katika Hali isiyo ya kawaida wakulima wa zao la chai wilayani Rungwe mkoani Mbeya hawajalipwa fedha zao ambazo kwa kawaida hulipwa Kila mwezi, halafu imekuwa ni kawaida Yao wamiliki wa viwanda kutowalipa wakulima kwa wakati na katika miezi wanayodai huwapooza kwa kuwalipa mwezi mmoja halafu...
Tumekua tukishare ideas mbalimbali, ni muhimu kufahamiana japo kwa picha unashanga siku umeenda kijijini Mpwayungu unapokelewa vizuri na Faiza 🦊 Fox....... Tuanze sasa mm yakwangu ntapost mwishoni
Jana nilibahatika kuhudhuria mkutana wa Mhe. Lissu ukweli hoja Hana kuwashawishi wananchi kumchagua ama kuchafua upinzani nashauri wajipange upya.
Nilidhani angezumzia changamoto zinazogusa watu moja kwa moja lakini yeye anazungumzi Sheria za uchaguzi, kwanza umma inatakiwa utambua changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.