Recent content by Kyambamasimbi

  1. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania Nimefiatilia kampeni za upinzani hawana hoja, wanafanya comedy tu.

    Habari wanajf.kwa kweli nmeona wengi wanafanya vichekesho hawana hoja za msingi kuwashawishi raia za kuweza kuitoa CCM madarakani.
  2. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania Wakuu nahitaji remote control ya Projector Epson anayejua chimbo tafadhali p

    Habari wanajf. Kichwa Cha habari kinajieleza.
  3. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania Jina gani la ukoo lilikuwa likitajwa darasani ilikuwa lazima watu wacheke?

    Habari wana JF, kazi kwenu sasa.
  4. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania Wakulima wa chai wilayani Rungwe-Mbeya hawajalipwa miezi minne sasa hakuna taarifa yoyote wakulima waanza kung'oa chai

    Katika Hali isiyo ya kawaida wakulima wa zao la chai wilayani Rungwe mkoani Mbeya hawajalipwa fedha zao ambazo kwa kawaida hulipwa Kila mwezi, halafu imekuwa ni kawaida Yao wamiliki wa viwanda kutowalipa wakulima kwa wakati na katika miezi wanayodai huwapooza kwa kuwalipa mwezi mmoja halafu...
  5. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania Wanajamiiforums tufahamiane hata kwa Kila mtu apost picha yake. Tuanze na Sky Eclat apost hapa

    Tumekua tukishare ideas mbalimbali, ni muhimu kufahamiana japo kwa picha unashanga siku umeenda kijijini Mpwayungu unapokelewa vizuri na Faiza 🦊 Fox....... Tuanze sasa mm yakwangu ntapost mwishoni
  6. Kyambamasimbi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kutoka Makongolosi: Mhe. Lissu Hana hoja za kuwashawishi wananchi kumchagua in short Hana mvuto kisiasa

    Jana nilibahatika kuhudhuria mkutana wa Mhe. Lissu ukweli hoja Hana kuwashawishi wananchi kumchagua ama kuchafua upinzani nashauri wajipange upya. Nilidhani angezumzia changamoto zinazogusa watu moja kwa moja lakini yeye anazungumzi Sheria za uchaguzi, kwanza umma inatakiwa utambua changamoto...
Back
Top Bottom