Huwa najaribu kuwaza kunamatangazo. Haya ya pombe mwisho huwa wanasema haiuzwi kwa waliochini ya miaka 18. Je ni kweli wahudumu huwa mnawauliza wateja wenu umri wao kabla ya kuwauzia bia??????
Nawakumbuka wafuatao;
1. Elias Sultan Nzowa kutoka Boda ya wajanja Tunduma
2. Pido guy pido guy
3. Chacha Muhiriobaleeeeee
4. Mbughujo Mwasengo
5. Edward Kabamba kutoka Haidom Manyara
6. B 52
7. Mama pendo
8. Lawena Nsonda
9. Lenga Chapati
10. Paul Misalaba na wengineo
Sasa hivi Kila ukifungua redio wao hutangaza wa kubashiri kwa kutuma Hela kwenda studio.
Najaribu kuwaza hivi unajuaje na namna wanavyoendesha hiyo michezo kwa sababu wewe unatuma tu hela halafu mtu aliyeko kule ndio afikirie akutumie ww sh.ngapi,
Naona kama watu wanapigwa sana labda kama...
Ifikie hatua tuheshimu serikali kwa nn inapotokea maadhimisho ya kitaifa uvurugaji hutokea kwa kuanzisha vuguvugu la Maandamano? Je ni mpango wa kuvuruga na kuua siku maalum za maadhimisho ya nchi yetu. Na hii mpaka lini? Kwa nn tusivipe vyombo vyetu vya ulinzi na usalama nafasi ya kufanya...
Ndugu wanajf habari za siku nyingi nilipotea kidogo sasa nmerudi mapumzikoni kutoka Bamako ñchini Mali, bahati nzuri pia nmebahatika kumtembelea bibi yangu aliyeko Patamela Songwe kupitia Makongolosi, kwa ujumla huu mji watu hawalali ikifika saa moja jioni ndio biashara zinafunguliwa hasa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.