Recent content by KYAB'NYAMBALA

  1. K

    Wassira: Magazeti yanaandika habari nusunusu na za kupotosha

    Baba unakoloma watandika nini
  2. K

    Wabunge wa CHADEMA ni wakilishi wa wananchi ama chama?

    Shemeji yake alikuwa anamwendesha Makamba
  3. K

    Wabunge wa CHADEMA ni wakilishi wa wananchi ama chama?

    CCM wauaji na magaid, CCM
  4. K

    Wabunge wa CHADEMA ni wakilishi wa wananchi ama chama?

    Kweli wewe Mafilili. Kawambie mambo mabaya
  5. K

    Ujio wa Dr.Slaa Uyole- Mbeya; CHADEMA waomba michango kugharamia ujio wa Dr.Slaa

    Chama cha kweli unatakiwa uwashilikishe wanachama kwa kilia jambo kutoka kwenye planing , function and reflection. Hakuna shida kuwachangisha wanachama nchango wowote kwa jili ya maendeleo ya chama chao . But hawatachanga wakiwa wanajua kuwa chama kinapata rudhuku ya kutosheleza na kina vitega...
  6. K

    Spika Anna Makinda achimba mkwara mzito wabunge

    Watu wengi tuliacha kuangalia bunge mpaka tupate kiongozi mpya wa kuliongoza. Bora wanaotukana kulio wanafiki wa kusema ndiyo kila kitu na kugonga meza. Wabunge wengi wapunbavu sana tunajua hiki ni kipindi chao cha kupokea rushwa. Natamani kuwatukana hata mimi! ase! kitugu kyab'o
  7. K

    Sasa ni dhahiri CCM wanaiogopa CHADEMA

    Hizo ndizo siraha zao za mwisho, Vita imeisha hiyo
  8. K

    Spika Makinda atumiwa SMS zaidi ya 400 'za matusi'

    Sijui nitapataje namba yake nilishindwa kufika kwenye mkutano tafadhari naomba kama unayo.
  9. K

    Watanzania tahadharini kwani tunapotoshwa na M4C

    Pole dada kazi imekushinda.
  10. K

    Wajumbe wapya wa Kamati Kuu CCM hawa hapa...

    Du! hata Wassira?
  11. K

    Hoja binafsi ya Mwigulu kuhusu bodi ya Mikopo

    Du! napenda hii imekaa vizuri
  12. K

    Shonza, Mbeya wana adabu za kutosha

    Ase! nkonyofu!
  13. K

    Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

    Kuna vijana walipewa kazi ya kuboa Chadema kupitia umoja wa vijana na kuna wazee akiwemo Shibuda walikabiziwa viongozi wa kitaifa. Nasigitika kuona kazi yake imefika mwisho bila kufanikisha malengo yake.
Back
Top Bottom