Chama cha kweli unatakiwa uwashilikishe wanachama kwa kilia jambo kutoka kwenye planing , function and reflection. Hakuna shida kuwachangisha wanachama nchango wowote kwa jili ya maendeleo ya chama chao . But hawatachanga wakiwa wanajua kuwa chama kinapata rudhuku ya kutosheleza na kina vitega...
Watu wengi tuliacha kuangalia bunge mpaka tupate kiongozi mpya wa kuliongoza. Bora wanaotukana kulio wanafiki wa kusema ndiyo kila kitu na kugonga meza. Wabunge wengi wapunbavu sana tunajua hiki ni kipindi chao cha kupokea rushwa. Natamani kuwatukana hata mimi! ase! kitugu kyab'o
Kuna vijana walipewa kazi ya kuboa Chadema kupitia umoja wa vijana na kuna wazee akiwemo Shibuda walikabiziwa viongozi wa kitaifa. Nasigitika kuona kazi yake imefika mwisho bila kufanikisha malengo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.