Du...kweli mwajuma mchawi ni mbunifu. Umebuni kitu cha kuchekesha na kuprovoku watu.na umefanikiwa mn kuna watu wameshaprovokika na wengine tumechekaje! Big up.
Majanga haya jamani...! Wapendwa tujihadhari sana na hasa watu wanaojipachika majina ukiwachunguza ni hatari sana...kujiita "mzee wa yesu" ndo nini sasa.
Uko sahihi mkuu.mara nyingi walokole tunajitoa ufahamu kabisaa...hata kufikia hatua ya kufanya maombi yasiyo na mwelekeo au ya kinafiki.Mungu atusaidie sana
Ndugu wanajamvi naomba kuelimishwa kidogo kupitia swali lifuatalo:
Kuna uwezekano wa mtu kufanya Phd bila kupitia Masters? Na kama jibu ni ndio ni katika mazingira gani hasa?
Nauliza hivi sababu nilisoma juzi kwenye gazeti Grace Mugabe yuko mbioni kufanya shahada ya uzamivu akiwa na shahada...
Mwanamuziki wa nyimbo za injili mama mchungaji Debora John Said amefariki dunia.Sina taarifa ya kutosha ila nimesikia tangazo hili radio Wapo mchana huu bila maelezo zaidi kama lini amefariki na kwa tatizo gani.Yeyote mwenye taarifa zaidi atujuze.
Mungu awatie nguvu familia yake na waumini...
Yes am serious.nyuki wakubwa ila bado nakusanya mzigo kupitia vijana wangu Tabora nitajua baadae kidogo kuhusu jumla ya tani na bei baada ya kujua gharama za usafiri pia.asante kwa ushirikiano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.