Recent content by kwimba1

  1. K

    CRDB wametoa nafasi za kazi za bank officers

    Habari wadau, mwenye taarifa kuhusu nafasi za CRDB za mwezi september atujuze kama wameshaajili watu.................................
  2. K

    CRDB wametoa nafasi za kazi za bank officers

    habari wadau ! Jamani hivi nafasi walizotangaza CRDB mwezi wa tisa wameshachukua watu,mwenye taarifa atujulishe manake mimi ni mmoja ya watu niliotuma maombi crdb.
  3. K

    Crdb bank update - july 2014,

    kigezo cha kuita watu kwenye interview ni ufaulu, baada ya hapo sasa ni kupima utendaji na muonekano, tusivunjane moyo wadau,mwenye information za kutosha aweke wazi!
  4. K

    Crdb bank update - july 2014,

    mwezi wa nane ndo huo unawadia,kwa kauli yako naanza kujiandaa kwa interview,ili wakiniita nisitende kosa hata moja.
  5. K

    Crdb bank update - july 2014,

    Namaaisha ofisi za CRDB zilizoko mikoani,ili niendelee kuapply nikiwa huku kijijini,
  6. K

    Crdb bank update - july 2014,

    Na kwa walioko mikoani application zote mpaka ziende azikiwe,sababu nafahamu zonal office nao hua wanaajili, manake mi niko kijijini kwa wazee nakusanya nguvu ya kukaa mjini nikiendelea kuapply'
  7. K

    Crdb bank update - july 2014,

    Ok,nashukuru kwa taarifa,niendelee kuapply sehem mbalimbali
  8. K

    Crdb bank update - july 2014,

    Application nilishafanya online,na GPA yangu ni kubwa hivyo najipa moyo nifahamu kama hawajaajili,ili niendelee kuvuta subira
  9. K

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Nimebahatika kupata mtaji wa 1,000,00 nina mpango wa kufanya biashara,ninapenda biashara ya kuuza na kununua mara moja sio ya kuwa sehemu moja,mwenye ujuzi na biashara naomba ushauri, nawakilisha!
  10. K

    Crdb bank update - july 2014,

    Ndugu zangu ni kawaida imezoeleka kwa CRDB kuajiri nafasi za bank officer katikati ya mwaka yaani mwezi july, na hii inakuwa katika zonal office, mfano last year nikiwa 2nd year. Nimejaribu kufuatilia kama mwaka huu wameshaajili lakini sijapata information za kutosha,mwenye kujua anifahamishe...
  11. K

    TANESCO Ajira Kibao

    Wadau. TANESCO jana wametangaza nafasi za kazi kupitia gazeti la Daily News, sijabahatika kulipata hilo gazeti, mwenye taarifa aweke link tafadhari, au taarifa zaidi. Nawasilisha.
  12. K

    Tunaomba mwenye historia ya maisha ya mbunge, Richard Ndassa aiweke hapa

    mh Ndassa ni chaguo la watu, jimboni anasifika kama injini ya maendeleo,amefanikiwa sana kuwakomboa wananchi sekta ya afya,elimu,na miundombinu kwa ujumla, ifike mahali watanzania tupongezane kwa mazuri yanayoonekana na kusaidiana kuondoa kero zilizopo,na sio kukaa na na kujadili maisha...
Back
Top Bottom