Tunaomba mwenye historia ya maisha ya mbunge, Richard Ndassa aiweke hapa

Mpaka hapo tumeshamjua, hakuna haja ya kumzungumzia tena, huu uzi ufutwe! Admn. fanya kazi yako
 
Mbunge amekaa madarakani miaka zaidi ya ishirini, bado ana hoja za posho kweli akili mgando, angekuwa na akili kama za Mengi kama kweli kuna ulaji kipindi kimoja tu tosha, na ndani ya miaka hiyo ishirini angeshakuwa mbali kiuchumi na kuacha mambo ya kuwazia posho. disgusting

ni rafiki mkubwa wa meya wa ilemela mr matata,pengine ndio mmoja kati ya wanaomkingia kifua abaki na umeya na kukwamisha mipango ya cdm kuendeleza ilemela
 
Point sio elimu yake kuwa ndogo. point ni iweje mtu mwenye elimu kama take amepenyeza mjadala kama huo na wenye elimu zao kubwa wanashindwa kutoa majibu??
 
hahahah mchumia tumbo nadhani alipopata nafasi akili yake ikajenga maghorofa fasta wanatuchakachua tu.. WIZI MTUPU:evil:
 
Wakuu, naombeni mwongozo please, kama kumbukumbu zangu zitakua sawa, diploma ya Accountacy hatukua nayo kwa muda mrefu hapa nchini hadi miaka ya hivi karibuni tu, i mean miaka ya 2000. Kulikuaga na certificate, Advance diploma; kwa mwenye kumbukumbu nzuri please atupe mrejesho, lini ilifutwa? Diploma ilikuaga ya NBAA ambayo ni Pii.
 
Wiki mbili zilizopita aliyekuwa mhariri wa'mfanyakazi' ameandika makala gazeti la 'Rai'kumsifia sana,sijui alipewa nini
 
Kwa kawaia mwanadamu ameumbwa na Mapungufu,katika halifulani Mapungufu hapo uleta matatizo katika jamii kama Mapungufu. Ya RICHARD NDASA,Anasazi yeye Hadhina yake sio sahib I kupata laki tatu kwa siku, Anasazi kwamba anastahili kupata zaidi maana yeye ni mtu wa level ya juu na hapa ndo nianzie ili kuweka common ground kuhusu Hadhina ya mtu HApa na toa mfano wa watu mbalimbali waliotoa michango mbalimbali katika kulipigania taifa hili namwisho hawakudai kitu kwa michango Yao,Mwalimu Waikato anadai ushuru wa taifa hili alifanya Zara kwenda UNO lakini wapo watu waliomlipia nauli ili amende Huko, watu hao hawakudai walipie pesa maana lilikua jambo la kitaifa na muhimu kwa vizazi na vizazi kama Liliuokalani hili la katiba.Vita ya kagera wahaya walijitolea kwa michango mbalimbali kama magari,mifugo kwa ajili ya chakula kwa wapiganaji na mengine yo lakini hakuna aliyedai kulipigania sababu ni jambo la kitaifa sawa na hili la kuandika katiba mpya.

Ni jambo la kushangaza kuona mtu kama RIchard NDasa analenga kupata pesa kwenye jambo mabalozi hata wangesema sema watu wajitolee wapende na kukaa Dodoma Kuanadaa katiba wangepatikana.MTu mwenye Hadhi hategemei kukomba pesa za walipakodi tena maskini ili amalizie shinda Zake.aliko DANGOTE ni mtu mwenye Hadhi ametoka Kwao NIgeria amewekeza mtwara anapata pesa kutoka ktk biashara Zake Hutu anawekeza ni Hadhi kubwa hiyo MO IBrahim amecommit multimillion dollars ili ku promote utawala bora Africa mtu huyu Ana Hadhi sasa NDasa Hadhi gani unayodai wakati unataka wananchi wakubebe kwa kodi zao?lakini nimejifunza na kuja kwamba tamaa inavoweza kumwondolea heshima mtu yoote bila kujali nafasi yake.pia nimejua na na mafisadi yanavochanga karata zao katika kufanikisha michezo Yao serikali Wanatoa bongo kwa Wenye tamaa wasilizika na kile wanachokipata awful kama NDasa shame!!
 
Wasukuma mmpimeni tena mtu wenu maana amesahau kama wapiga kura wake wanashindia mlo moja kwa siku
 
Ni mume wa Suzy aliyesoma mwanza sec School, but am not sure kama hiyo ndoa bado ina survival
 
mh Ndassa ni chaguo la watu,

jimboni anasifika kama injini ya maendeleo,amefanikiwa sana kuwakomboa wananchi sekta ya afya,elimu,na miundombinu kwa ujumla,

ifike mahali watanzania tupongezane kwa mazuri yanayoonekana na kusaidiana kuondoa kero zilizopo,na sio kukaa na na kujadili maisha binafsi,

nawasilisha,mwanajimbo.
 
Back
Top Bottom