Kesho chenge akihamia CDM, wanaweza kutuambia hajawahi kuchukua hata senti moja ya nchi hii, eti kwa kuwa hajashitakiwa na wanaeza kuwa tayari kumfanya PM. These guys can't be trusted. Naanza kufikiria upya juu ya nani nimpe kura yangu.
Mkuu jiangalie nawe utaitwa msaliti, unaanzisha chama kipya ndani ya chama, cahadema ndo nini? Kimesajiliwa hiki chama? Subiri wenye chama Chao waone, unafukuzwa uanachama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.