Ndugu hata mimi ningeunga mkono ukawa lakini Mwita Waitara hatoshi :
- Mimi mwana kivule tumempa mtaa bado hajafanya kazi ya kunishawishi
- 2010 alikwenda kugombea ubunge kwao hawakumpa iweje sisi ukonga tumpe kirahisi na kwao walimwona hafai .Msifanye Ukonga kichwa cha Mwendawazimu kila mtu...
Ndugu zangu kuweni macho na Jerry Slaa anajipitisha kutaka ubunge wakati huku kwenye kata Gongolamboto hatujawahi kumwona nasikia kaja Kwa mara ya kwanza ktk chama chake Li CCM kagawa 30.000 wakati wananchi katuacha. Kafisadi manispaa sasa anakimbia .Jamani wana Ukonga tusidanganyika huyu...
Huyo wa mwaka 84 mwache hivyo hivyo na pumba zake. Ila mheshimiwa Mwaiposa kwa kipindi hiki cha kwanza kashuka.Nakumbuka kumtumia ujumbe kuhusu kiwanda cha moshibar kesho yake kaja na kuahidi kukifunga na kakifunga kweli. Mama tutakupigania ila hama huko kwa mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.