Recent content by KWATWANGA

  1. K

    Duu! Kweli mapenzi hayatendi haki

    Mimi yaani mpaka nikata tamaa kabisa ya kupenda zaizaidi ikitokea nalipa kisasi
  2. K

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Pumbavu acha kogawa watanzania kwa kutumia vyama mjinga kweli account yako ni bora ifungiwe mjinga wewe
  3. K

    Tumuombe Magufuli asiwape watu Vyeo Viwili - kupunguza Rushwa

    kama katiba haimforce kufanya hivo ataweza viva magufuli HAPA KAZI TU! :lock1:
  4. K

    Mbunge jimbo la Makambako

    Jamani wadau naomba anayefahamu sifa za elimu ya mbunge wa jimbo la makambako, maana kuna tetesi jamaa kasoma mpaka darasa la pili kaingia mitini. swali je? Itawezekanaje mtu aliyesoma madarasa mawili kutunga sheria ambazo zitaliongoza taifa kwa mda wamiaka hamsini bila kufanyiwa marekebisho...
  5. K

    Lowassa ahoji maswali matatu kwa Magufuli

    MAGUFULI NI RAISI WA JMT HIVYO SIO RAISI WA CCM ANA HAKI YA KUKUSANYA ILANI KUTOKA CHAMA CHOCHOTE NA KUANGALIA YALE MAZURI ZAIDI NA KUWATENDEA WATANZANIA. WEWE ULIYEPOST UACHAMA HAPA JITAMBUE NYINYI NDO MNAOPANDIKIZA CHUKI KWA WANANCHI WASIIPENDE SELIKALI NA KULETA MAKUNDI YENYE MSIMAMO...
  6. K

    Vijana acheni chipsi yai: Kula dona dagaa ujenge heshima kitandani

    Ila ngoma tamu aise wacha kabisa hata ukishituliwa lazima goli liishe nd ubanduke
  7. K

    Umakini wa serikali uko wapi jamani?

    JAMANI WADAU, HIVI SERIKALI UMAKINI WAKE WA KULINDA AMANI UKO WAPI KWA HAYA YAFUATAYO: 1.LOWASA KUTOA MATAMKO MAZITO YA KUTORIDHISHWA NA MWENENDO WA UCHAGUZI KUWA ULIKUWA WA HILA NA SIO WA HAKI LKINI SERIKALI IKO KIMYA INAPUUZA KWA KUWA IN MAJESHI. 2.KUTOSIMAMIA NA KUWAWAJIBISHA WAKURUGENZI...
  8. K

    Njia Panda; Kataa ya Jecha CCM out SMZ, Kubali ya Jecha Uchaguzi Rais JMT Unakosa Uhalali Unarudiwa

    Tukubali tu mateso ndo mfumo, sitapiga kura tena yaache yatunyonye mungu atayaaddhibu
  9. K

    Lowassa atinga Tume ya Uchaguzi kupeleka malalamiko, azuiwa kuonana na viongozi

    Ushauri wangu kwa serikali ni kwamba maridhiano ni muhimu sana katika kuleta amani na mshikamano dharau hazisaidii cha msingi kuwasikiliza upinzani na kutatua dosari na kutoa ufafanuzi zaidi kwenye sitofahamu inayoendelea, itatugarimu sote tume kuweni makini sana, peace and security is upon you,
  10. K

    Kati ya sababu zote zilizotolewa, ZEC itufafanulie hili

    Tume iko under the cotrol of the ruling part
  11. K

    Tazama uhusiano wa NEC na ZEC

    Kutwawala kimabu ndo kunasabisha kupindisha sheria, kungekuwa na serikali tatu tusingekuwa na noma namshukuru mungu kwa kuwajibu ukawa
  12. K

    Umuhimu wa Katiba ya wananchi

    Wadau napenda kuwakumbusha vitu kadhaa, 1. Wakati wa mchakato wa katiba wapinzani walizungumza kuhusu serikali tatu, suala hili lingetuondolea mgogoro wa kutangaza matokeo wakati zanzibar wamefuta uchaguzi. 2. Mamlaka ya raisi kuwa kama mungu hata akifanya hoyo akimaliza mda wake...
  13. K

    Mgombea udiwani CHADEMA kata ya Makoko Musoma Mjini avamiwa usiku wa Leo!

    dawa ya moto ni moto mkuubb:hail: :peace:
Back
Top Bottom