Alienda kwenye ofisi za watu na mitutu yanini?alafu huyo anaedai kuwa hana account ya Twitter kwa akili yako unaamini hivyo?aiwezekani waziri anayeitangazia ulimwengu kuwa Tanzania inaitaji uwekezaji wa viwanda alafu awe anatumia fb na sanduku la post.Jiongeze ww
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.