simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 379
Sasa mwenyewe umeandika tanroads
Siasa inaingiaje
Siasa inaingiaje
Chama mfu chadema walidhani kuipa serikali makaripio watainyoosha kumbe wao ndiyo wanatakiwa wanyooke
unajua uliongealo au unakukupuka tu?Hivi mtu nyumba imepigwa X kubwa wewe unaenda kupangisha fremu halafu ikivunjwa unalalamika. That is insane
Tuache siasa Jamani Ili eneo liwe na hadhi Barabara ni Muhimu!! Sasa watu wamejenga hadi kwenye ukingo wa barabara hii ni hatari? Tufike Mahali tuseme sasa hii basi!! Na watu waheshimu sheria bila kusuguana na mamlaka husika!