Recent content by kwapetaka

  1. kwapetaka

    Wizara ibadili uongozi wa shule ya sekondari Bagamoyo

    Hapo uliowataja aliebaki bagamoyo sec ni kitungwa na mugombele tu wengine wote washasepa kitambo. nda ni mkuu pale. Kitungwa yupo
  2. kwapetaka

    Wizara ibadili uongozi wa shule ya sekondari Bagamoyo

    Akina alan ndyamukama... Marehemu amlima mungu amuwrke pema peponi. Kaka ally ngombesazi uuuwiii i miss those days
  3. kwapetaka

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Kikubwa tusubir tu majibu wawe wazima. Mengine atatueleza maana tutamuuliza
  4. kwapetaka

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Helcopta anayotumia deo hajakodiwa na chama... Ni yeye kama yeye.ndo maana makamba alisema helcopta zilizokodiwa na chama zipo salama zote
  5. kwapetaka

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo rombo nije kinondoni au bagamoyo
  6. kwapetaka

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Vurugubza makusidi au bahati mbya? Maana sijkuelewa kidogo
  7. kwapetaka

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Rombo mie nije bagamoyo au kinondoni dar. Ni pm
  8. kwapetaka

    Ni aibu vodacom kuutumia uislam na yatima kibiashara

    Naona mabishano haya si mema... lakini nijualo, waacheni wenye hila, matusi , na wauaji waendelee kufanya kazi yao walotumwa na shetani. Nanyi wa nuruni.. enezeni nuru maana ninyi na barua.... ninyi ni chumvi ya ulimwengu.
  9. kwapetaka

    Pamechimbika Ubungo

    Ninapata hofu kuitambua taswira ya nchi hii kama wapinzani wakichukua nchi watawaacha machinga mjini. Mambo mengine si ya kutetea. Fuateni taratibu. Mbona nchi za wenzetu pia yapo?? Au ndo sie kujifanya tunaresist kila kitu only for the sake of being seen as mpinzani. Machinga wana maeneo yao...
  10. kwapetaka

    TAMISEMI: Wazidi kuwadanganya walimu wapya

    Wanaostahili ajira wamepata. Kama wewe unaona hujapata subir second selection. Au kasome maana huwez ajiriwa na stashahada yako wakat kuna watu na shahada zao wapo home. Kasome nawe upate shahada uje uajiriwe
  11. kwapetaka

    Naomba ushauri juu ya huyu mgeni,mana amebadili nyumba yangu

    Kweli hii ndo suluhu. Toa namba za simu. Watu watakuwa wanamkumbusha badala yako. Ila hapo sifa ya urais wako inaanza kupotea.
  12. kwapetaka

    Mwadhama - Kardinali Polycarp Pengo ni mgonjwa

    Wewe kweli huwazi. Pole sana kwa hilo
Back
Top Bottom