Wakati mwingine huwa naonejana mgeni nikifika kkoo matangazo yakila aina asee huwa nashindwa kujizuia maana bongo hii kwa matangazo tu hatujambo
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Watutsi sio wayahudi sema wanajibatiza uyahudi ili wapewe misaada baada ya kuona wanawasiwasi wa kuja kusalitiwa na wabantu maana wana watawala ndugu zao hivyo wanatafuta mshirika nje ya afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.