Humu JF kuna watu wanjua kukuza sana mambo sijui kwa lengo gani,ila same same wtu utawakuta wamefurika beach kidimbwi,juliana,tips,waswanu(hapa hata parking inakuwa shida),unakuta wanakula bata kama vle hakuna kufa,wakija hapa JF wanalalamika hao kama wamama wajawazito.
Sent using Jamii Forums...